JK, na wenzake walikuwa wanatafakari kuigawa wizara ya Nishati. kutokana na uwezekano wa kupatika Gesi na Mafuta. Ila tu ataongeza manaibu wawe wawili.
anasema mawaziri wanawajibika kwa mambo ambayo hawakufanya. nimeshangaa kuona wanao wajibika ni waziri tu, tumelitafakari hili, aliye sababisha waziri awajibike hataachwa. bodi itaondoka. kuna watu wapo kwa ajili ya kupiga fitina. sasa wote watawajibika.
Hivi huyu mkuu huwa anaanza je hotuba yake? Mbona Introduction ya hotuba yake ni mbovu kiasi hicho? Kama ameanza hovyo atamaliza hovyo. Hakuna kitu kipya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.