Emma hulijui hata gazeti la serikali?
Tuliambiwa jk hafai tukasema anamvuto
na mimi nilikuwa najiuliza hii ishu. kikatiba hawa jamaa siyo mawaziri.Hapa ndio ile maana ya Waziri anaweza kutokuwa mbunge. Sasa bunge kama limevunjwa maana yake ni kwamba na uwaziri una-dissolve kwa kuwa huwezi kuwa waziri pasina ubunge. Hii nchi imekorogwa sana. Tubadilishe kila kitu. CCM ni madikteta na mabwanyenye.
Wakuu nashindwa kuelewa nini mantiki ya rais wangu kuto kulivunja baraza la mawaziri, tunamaliza wiki sasa tangu kampen ianze mawaziri wanatumia nafasi za uwaziri wao kuomba ubunge na wengine wanatumia uwaziri wao kuombea u rais. Na bunge halijavunjwa mpaka sasa licha ya ahadi Kuwa litavunjwa tarehe 20/8/2015 lakin mpaka sasa wabunge wanautumia ubunge wao kuusaka ubunge hivi nchi hii ninani katurogaaa
hao ndio aina ya washabiki wa ukawa...akili ni zeroemma hulijui hata gazeti la serikali?
kweli ukawa mna mambo. Wewe ndio mfano wa mashabiki bogus ukawa waliokuwanao. Nani kakwambia bunge bado lipo? Kama lipo tueleze linakutana tena lini? Nyie ndio mazombie mnapiga kelele mtashinda uchaguzi...hata facts ndogo tu hauna. Hopeless my brother.wakuu nashindwa kuelewa nini mantiki ya rais wangu kuto kulivunja baraza la mawaziri, tunamaliza wiki sasa tangu kampen ianze mawaziri wanatumia nafasi za uwaziri wao kuomba ubunge na wengine wanatumia uwaziri wao kuombea u rais. Na bunge halijavunjwa mpaka sasa licha ya ahadi kuwa litavunjwa tarehe 20/8/2015 lakin mpaka sasa wabunge wanautumia ubunge wao kuusaka ubunge hivi nchi hii ninani katurogaaa
Mawaziri ukomo wao hufikia baada ya uchaguzi mkuu.
jamani muwe mnajaribu kusoma, bunge lilishavunjwa kwa mujibuwa tangazo la serikali katika gazeti la serikali.
(2) Kiti cha Waziri au Naibu Waziri kitakuwa wazi litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:-
(f) ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu kabla Rais mteule hajashika madaraka hayo;
(2) Kiti cha Waziri au Naibu Waziri kitakuwa wazi litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:-
(b) Ikiwa mwenye madaraka hayo atakoma kuwa mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge;
(f) ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu kabla Rais mteule hajashika madaraka hayo;
Ilisemwa kuwa litavunjwa tarehe 28 August lakini mpaka sasa bado.
Mawaziri wanagombea ubunge!
Ni lini hasa baraza la mawaziri linapaswa kuvunjwa?
Na ni sababu zipi zinazoweza kusababisha rais kuchelewa kulivunja baraza la mawaziri?
Naomba msaada.
(2) Kiti cha Waziri au Naibu Waziri kitakuwa wazi litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:-
(a) endapo mwenye madaraka atajiuzulu au kufariki dunia;
(b) ikiwa mwenye madaraka hayo atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge;
(c) ikiwa Rais atafuta uteuzi na kumuondoa kazini mwenye madaraka hayo;
(d) iwapo atachaguliwa kuwa Spika;
(e) iwapo Waziri Mkuu atajiuzulu au kiti chake kikiwa wazi kwa sababu nyingine yoyote;
(f) ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu kabla Rais mteule hajashika madaraka hayo;
(g) iwapo Baraza la Maadili linatoa uamuzi unaothibitisha kwamba amevunja sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
baharia Ar
Nakwambia hili la baraza la mawaziri kutokuvunjwa nahisi ni kwamba kuna kitu kinachoendelea..........haikubaliki hata kidogo kodi ya Wananchi iendelee kutumiwa kuwalipa mishahara watu ambao inajulikana kabisa muda wao umeshakatika
Ila Mi naweza kusema ya kwamba kuna janja anaeleza mkwe......re lakini safari hii WATAISOMA NAMBA!
bunge likivunjwa automatically kunapaswa baraza la mawaziri kuvunjwa maana kunakuwa hakuna mwenye sifa ya kuwa waziri, tunashuhudia mwendelezo wa dharau za watawala.