Haha haa haa nahisi kikwete anafanya kusudi
cc Nyani Ngabu....
Anatoa darsa la mwisho mwisho kwa Malofa wa kisiasa waliodhani ukivunja bunge ndo umevunja serikal, hata dakika moja kabla ya kuapishwa Magufuli jk bado ana nguvu zote za urais hata kutangaza Vita. Jifunzeni kusoma katiba , sheria na taratibu badala ya vichwa vyenu kukabidhi kwa wale vijana 192 waliokuwa wana post propaganda dhaifu kabisa eti jk anaogopa kuvunja Baraza la mawazir kwa kuwa mawazir watahamia Chadema hahaha! Baraza la mawazir hakivunjwi linavunjika automatically kwa kuapishwa Rais mpya au Rais yule yule akila kiapo cha uongozi kwa awamu ya pili basi linavunjika immediately.
Last edited by a moderator: