Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,857
- 16,755
Hivi kwa nini anateua teua tu watu hovyo hovyo hizi siku zake za mwiso?
Atajiteua na yeye muda si MREFU kuwa MSHAURI WA RAIS MTEULIWA kwa miaka 10 ijayo.. subiria..!!
Hivi kwa nini anateua teua tu watu hovyo hovyo hizi siku zake za mwiso?
Humjui vizuri JP Magz...
duu, sasa..........kazi tunayo watanzania
Hakawii kujiteua yeye mwenyewe kuwa mshauri wa Rais mpya...
Anatoa darsa la mwisho mwisho kwa Malofa wa kisiasa waliodhani ukivunja bunge ndo umevunja serikal, hata dakika moja kabla ya kuapishwa Magufuli jk bado ana nguvu zote za urais hata kutangaza Vita. Jifunzeni kusoma katiba , sheria na taratibu badala ya vichwa vyenu kukabidhi kwa wale vijana 192 waliokuwa wana post propaganda dhaifu kabisa eti jk anaogopa kuvunja Baraza la mawazir kwa kuwa mawazir watahamia Chadema hahaha! Baraza la mawazir hakivunjwi linavunjika automatically kwa kuapishwa Rais mpya au Rais yule yule akila kiapo cha uongozi kwa awamu ya pili basi linavunjika immediately.
Kwa hali hii ndo ufahamu kwamba serikali ya makomeo haitakuwa na mabadiliko ya aina yoyote ileKulikuwa na ulazima gani wa yeye kumteua kipindi hiki cha lala salama? Kwanini asimuachie magufuli Rais wa ccm ateua mtu kwenye Hiyo nafasi?