Sheria zetu(katiba) iseme wazi na kuifanyia kazi miiko ya viongozi, na rais aweze kushitakiwa hata katikati ya term yake ya kuongoza!
Kuna tofauti kati ya upole na uwezo mdogo.
Kuna tofauti kati ya upole na wizi.
Kuna tofauti ya upole na ujinha.
Napita njaa inaniuma.
What we need now is a strong person who will revive the institutions which are almost collapsing.
It is easy to be a presdent in the USA, than in Tanzania.
Hapa kwetu kila kitu ni wewe, watu wanakuangalia wewe, wewe ndio wa kutoa direction, bila wewe hakuna kinachofanyika. Nyerere aliyaweza haya.
Rais wetu ametufikisha hapa tulipo maana upole wake umemfanya ashindwe kukemea hata wale wanao onekana kuharibu utawala wake. Kila mtu anaibuka na lake na hakuna collective responsibility. Kuna watu wanajitokeza kugombea urais wakati hata ku 'manage' taasisi hawawezi kutokana na background zao huko nyuma hata matamshi wanayotoa. Kweli nchi yetu inapomoromoka vibaya sana na hadhi yake inashuka kwa speed kali.
Tufanye nini jamani ili tupate kiongozi kama Nyerere, hata Mkapa licha ya madudu yake ya hapa na pale alikuwa ana thubutu.
Kazi ya urais sio taasisi ya kuchezea ni taasisi ngumu ambayo inakufanya ufikiri na kutafakari kwa kina kabla hujaamua. Uwe na utashi wa kutatua matatizo na kujua unalisukuma vipi gurudumu la maendeleo. Kwa kipindi utakachokuwa madarakani utatutoa wapi na kutupeleka wapi. Kwa jinsi hiyo mtu inabidi ujipime na ujijue mwenyewe kwamba hapa hata kama nitasukumwa na kundi gani kugombea sitaiweza kazi hii.
Lakini sasa hivi umeibuka mtindo wa kuona kuwa hata mimi naweza kuwa rais. Hii ni kwasababu tumeacha kwenda kutatua kero za nchi lakini tunachofuata ni power, authority and wealth regardless who is hurt in the process.
Rais wetu ametufikisha hapa tulipo maana upole wake umemfanya ashindwe kukemea hata wale wanao onekana kuharibu utawala wake. Kila mtu anaibuka na lake na hakuna collective responsibility. Kuna watu wanajitokeza kugombea urais wakati hata ku 'manage' taasisi hawawezi kutokana na background zao huko nyuma hata matamshi wanayotoa. Kweli nchi yetu inapomoromoka vibaya sana na hadhi yake inashuka kwa speed kali.
Tufanye nini jamani ili tupate kiongozi kama Nyerere, hata Mkapa licha ya madudu yake ya hapa na pale alikuwa ana thubutu.
Sio kazi ya RAISI kuziba midomo watu wasiongee?..Hata ww sema unataka uwe raisi,,acheni ufala