Rais Kikwete akutana na wahariri; asema madai ya walimu hayatekelezeki!

sasa kama ndvyo hivyo anavyosema huko mahakamani wanaenda kufanya nini?
 
walio tayari kufundisha waachwe,wasibuguthiwe..watoto wadogo wasitumiwe kwenye mgomo..anasiisitiza pesa za kulipa nyongeza yao hakuna...anawatakia waslam mfungo mema....
 
Kibanda,anauliza kuhusu migomo,govt inajifunza nn kutokana na hilo hasa kwamba kauli yako kuwa hakutakuwa na mgomo tena na vp kuhusu vipaumbele
 
Imeanza anaongelea mgomo wa walimu na madai ya walimu ni magumu kutekeleza. Ni bajeti ya trillion 6. Ana lalamika tu km mimi na wewe.Na madai ya walimu haiwezekani.
ba...hapa naweza kupigwa ban...ngoja nikae kando kwanza munkari utulie...
 
Ulisema govt haihusiki na kipigo cha ulimboka lakini bado givt inahusishwa
 
Kamaliza hotuba na sasa ni maswali ya papo kwa papo kutoka wahariri wa habari. Absolimu kibanda ndio anauliza mbona migomo na swala la ulimboka.
 
Walim waiamini serikali kuwa itashughulikia madai yao, warudi kazini.
:lalala:Walimu wengi hasa wakaguzi wa shule hatujalipwa madai mbalimbali tuliyowasilisha wizarani. Halimashauri kwa upande wake zimejitahidi kulipa madai ya walimu. Wizani hela zimepelekwa wapi? Ukitaka kuthibitisha kwamba hatujalipwa angalia orodha iliyowasilishwa na Chama cha Walimu na orodha ya waliolipwa na orodha ya ambao hawajalipwa utagundua kwamba wakaguzi wengi hawajalipwa na majina yao hayajaorodheshwa kwenye orodha ya ambao waliolipwa au wasiolipwa yalioyopo kwenye tovuti ya wizara.
 
serikali imejifunza nini kutokana mgomo wa madaktari?

jibu

madaktari wa wajali maadili ya kazi yao hilo ndilo tumejifunza..
 
Lesson,bado tunayo kazi kubwa ya kufanya,hasa kwa madaktari kufuata ethics kugoma kwa daktari manake ni kuuwa
 
anajibu nje ya maswali...ct scan ya mhimbili haifanyi kazi yeye anasema ipo inafanya kazi
 
Back
Top Bottom