bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
- Thread starter
- #61
wanaotaka kufuatilia kwa radio link hii hapa
Dullonet Live
Dullonet Live
mbona anahutubia au nyie mnasikiliza wapi.....?
Mnategeme jipya toka kwa JK? Hawezi kuwa na ishu yoyote ambayo haijadiskasiwa kwa kirefu hapa JF.
Kama ataongea mbele ya waandishi wa habari basi aruhusu maswali, na swali la 1 liwe ana kauli gani kufuatia kufungiwa kwa gazeti la Mwana Halisi.
Kwani lazima aongelee maticha...Nadhani aliyemshauri kuitisha hii Press Conference hakumshauri vizuri. Angesubiri kesho mchana baada ya mahakama kutoa maamuzi
Haswaaaa'
tumckilize mzee wa Nibebe