Rais Kikwete ahutubia taifa mwisho wa mwezi Februari

Inafurahisha tunapokuwa na rais ambae anaongelea mauaji na mgomo wa madaktari baada ya madhara kutokea ,kweli hii ni tanzania pekee inawezekanza,zaidi ya mwezi issue ya madaktari leo kiranja mkuu anataka wananchi waamini kuwa ana uchungu nao

Ameongelea mchakato wa katiba pia .... hilo nalo unasemaje?
 
Tume ya katiba mpya itakuwa na wajumbe 32 tu, pasu pasu bara na visiwani!!!!!!!!!!

Hii ya pasu pasu na Visiwani ni kutowatendea haki Watanganyika. Wazanzibar wako wangapi na Watanganyika wangapi. Kweli Zanzibar ni kupe, they better move on and be independent
 
Kama anaruhusu maswali kwa njia ya simu nitamuuliza alikuwa wapi muda wote tangu mgomo wa madaktari leo ndo analiongelea! au alikuwa anasubiru mwisho wa mwezi (no emergency because he doesnt care)

Haikuwa live ni recorded japo ni ya leo.
 
Jamani ehee mnamkosoa rais ka yale aliyoongelea ,tubinie alitakiwa kuongelea nini. ?

Inawezeka Point aliziotoa zina altenatives nyingine lakini subject alizogusia ni sawa kabisa.
 
Walioshauri kuwa DR.SLAA awe mmoja wa wajumbe wanaweza kupima kama anakidhi vigezo vilivyotajwa na mkulu.
 
mwakiluma utakuwa una katabia ka kuinamishwa;punguza umbea hata sisi tunaiona ana hutubia vizuri.
acha upumbavu-kuna wengine hawana tv wala redio wanategemea source hapa
hiuo tabia kama unayo ni wewe mwenyewe
 
hahahahahahahaha! JK bana! Very interesting! Hahahahaha! Amemaliza kazi afu anawahi zake shangwe sehemu! Hahahahahaha!
 
Hotu ya ya rahisi ya mwisho wa mwezi ilyorusshwa na TBC hiv punde, sasa hiv inarushwa na star tv, kwa wale amabao hwajafuatilia, its their time
 
Mnapenda stori enhe? Hahahaha! Haya badilisheni channel! Hahahahaha!
 
Back
Top Bottom