johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Rais Kenyatta amemteua raia mwenye umri wa miaka 91 kuwa mkurugenzi wa vijana na michezo.
Uteuzi huo umepingwa mahakamani na mwanaharakati mmoja kijana lakini Rais Kenyatta amesema hataubadilisha kwa kuwa vijana ni wabadhirifu wa fedha za umma hivyo amemteua huyo mzee ili fedha isiibwe na miradi ikamilike.
Chanzo: Citizen tv
My take;
Wale wanaohoji uteuzi wa mzee Cleopa Msuya wana la kujifunza!
Uteuzi huo umepingwa mahakamani na mwanaharakati mmoja kijana lakini Rais Kenyatta amesema hataubadilisha kwa kuwa vijana ni wabadhirifu wa fedha za umma hivyo amemteua huyo mzee ili fedha isiibwe na miradi ikamilike.
Chanzo: Citizen tv
My take;
Wale wanaohoji uteuzi wa mzee Cleopa Msuya wana la kujifunza!