minuz
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 624
- 216
Sasa kwa nini wafichiwe siri bana watu mafisi tu hao,wadhalilishwe tu magu asiache hiyo style ni waizi tu hao, hawana faida yoyote kwenye jamii na kama waliheshimika kwa pesa za uwizi ndio muda umefika watu wajue sasaNASEMA DADA WALA HAJAONEWA.MSIPENDE KUTAKA KILA KITU KIWE WAZI ILI KUTAKA KUMDHALILISHA.TUNAJUA KILICHOKUWA KIKIENDELEA JUU YA WAWEKEZAJI FULANI.MFANO KWANINI KAMPUNI YE ECO ENERGY ILIPOPEWA SHAMBA KULIMA SUKARI BAGAMOYO IMEPITA MIAKA 10 HAKUNA KINACHOFANYIKA NA TIC IKIWEPO??
KUWENI MAKANI KWANI RAIS AKIANIKA KILA KITU WATU WATADHALILIKA.KUMBUKA WENGINE WANAWATOTO NA FAMILIA ZINAZOHESHIMIKA NCHINI