Rais kapotoshwa na wasaidizi wake utenguzi wa Kairuki?

Swali jepesi.

Huyu mama aliyetumbuliwa wana undugu na Mh Waziri wa Utumishi/Utawala Bora?
Au huyu ni mtu na wifi yake? Mbona majina yanafanana, wanashare kama mtu na dada au majina tu? Mwenye uelewa atujuze. Au ni majina tu kama ambavyo jina Juma, Ally, yanakua na watu wengi?!

Wameolewa kumoja mkuu.. Na wote ni wali nyama na mandondo kidogo.. Teeheteeh
 
Wanasema aliruhusiwa kuendelea na kazi na kujilipa posho kufidia mshahara ambao ndio alikuwa anajitahidi kupatana. Posho zikawa tamu, sasa miaka inakwenda mara Magu huyu... ndo hivo tena limekuwa jipu....
Nani alimruhusu kuendelea au kufanya kazi kama.haafikiani na mshahara au stahili zake?... Huu ni utaratibu gani, kwa sheria ipi ya utumishi?
 
Habari wanaJF,

Kufuatia kuteguliwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki taarifa za ndani zinasema bibie huyu kaonewa kwa sababu zilizoainishwa katika nukuzi ya taarifa hapa chini.

"Huyu Julieth ni mke wa Dr.Kairuki Mkurugenzi wa Mikocheni Hospital. Kabla ya kuja Tanzania alikua anafanya kazi South Afrika akilipwa mshahara wa USD 15,000. JK ndiye aliyemkuta SA akamuomba arudi nchini kuja kusaidia pale TIC baada ya Ole Naiko kustaafu. Kabla hajaja wakaset T&C kuwa her salary wont go bellow 18M Tzs.

Ikumbukwe SA alikua akilipwa 15K USD equals to 35M Tzs. Kwahiyo kukubali kulipwa 18M ni kukubali kusucrifice 17M kitu ambacho si rahisi kwa watu wengi. Lakini she did that for the sake of her country. But alipofika nchini TIC wakamwambia hawana scale ya 18M, wakataka kumlipa 5M. Huyu mama akakataa. She cant be that cheap kutoka mshahara wa 35M kule SA hadi 5M? Akamwomba JK arudi SA kuendelea na kazi yake, lakini JK akaagiza TIC wafanye salary review ili kuweza kuaccomodate madai yake. Kipindi chote hicho alikua hapokei mshahara b'se alikua hajafikia concesus na serikali. Sasa kabla TIC hawajakamilisha salary review ndio JPM akawa ametake power. Akawa anadiscourage mishahara mikubwa kwa wakuu wa mashirika ya umma.

TIC wakaogopa kuendelea na review ya Kairuki. Katika ufuatiliaji JPM akaambiwa kuna Mkurugenzi hajapokea mshahara tangu 2013. Lakini informers wake they didnt nail the whole story. Wao wakamwambia tu amekataa mshahara aliopangiwa anataka mkubwa zaidi na marupurupu makubwa. JPM akahamaki na kutengua uteuzi without knowing the truth. Hapa JPM kafanya kosa lakini simlaumu yeye, nalaumu informers wake. Basing on the facts provided huyu mama kaonewa sana and worse enough JPM hakumuita kumsikiliza. He just made decision basing from his informers.

This is typical injustice b'se principles of natural justice were abandoned. Ni bora JK angemruhusu arudi SA kuendelea na kazi yake"

Karibuni wadau.
Upuuzi mtupu,hivi inaingia akilini uache mshahara wa 30ml. Uje kwenye mshahara wa 17ml.tena usio na uhakika na huyu ni msomi wa sheria. Eti muda wote huo walikuwa wanafanya salary review..!! Muda huo mtu anaenda kazini kila siku bila mshahara na ameridhika!! Halafu hii tabia ya kusema mtu ameombwa kuja kufanyakazi ni tabia ya kijinga sana!! Km jk alimuomba atakuwa alimuomba kwa ajili ya kusaidia kupiga. Huyu ni mpigaji ndo maana katumbuliwa...!!!
 
NASEMA DADA WALA HAJAONEWA.MSIPENDE KUTAKA KILA KITU KIWE WAZI ILI KUTAKA KUMDHALILISHA.TUNAJUA KILICHOKUWA KIKIENDELEA JUU YA WAWEKEZAJI FULANI.MFANO KWANINI KAMPUNI YE ECO ENERGY ILIPOPEWA SHAMBA KULIMA SUKARI BAGAMOYO IMEPITA MIAKA 10 HAKUNA KINACHOFANYIKA NA TIC IKIWEPO??

KUWENI MAKANI KWANI RAIS AKIANIKA KILA KITU WATU WATADHALILIKA.KUMBUKA WENGINE WANAWATOTO NA FAMILIA ZINAZOHESHIMIKA NCHINI
Acha vichekesho. Suala LA miaka 10 uje kumbebesha yeye ambaye hata miaka mitatu bado. Je, kivuko cha bagamoyo alaumiwe nani?
 
Usiongee kwa husia hao wakurugenzi ni wataalamu, waziri hachaguliwi kwa kuzingatia Taaluma aliyosomea na kazi ya Waziri ni kusimamia sera ya wizara,Hakuna jambo jipya katika hili NHC iko chini ya wizara ya Ardhi na MD anakula zaidi ya 30M,Tanesco iko chini ya Nishati na Madini na MD anakula zaidi ya 20M,TRA,BOT ziko chini ya Fedha n Mipango wakuu wake wanakula ndefu, TPDC wako chini ya Nishati na madini na MD wake anakula hela ndefu, sasa unaposema haiwezekani mkuu wa Taasisi kulipwa zaidi ya waziri unatumia reference za nchi gani?
Hizi Taasisi au Mashirika mengi yanazalisha au kutengeneza faida, usifananishe na wanasiasa/wawakilishi wa wananchi.
Hizo zote ni taasisi za selikali huduma kwa jamii wanatakiwa walipwe mil 5 tu kwa mwezi,kama ni wanataaluma waende private sector huko wakalipwe hayo mabilion,mbona mnang'ang'ania selikalini mlipwe hizo pesa hamuoni nchi ilivyo choka selikali haina pesa vp nyie watu
 
Upuuzi mtupu,hivi inaingia akilini uache mshahara wa 30ml. Uje kwenye mshahara wa 17ml.tena usio na uhakika na huyu ni msomi wa sheria. Eti muda wote huo walikuwa wanafanya salary review..!! Muda huo mtu anaenda kazini kila siku bila mshahara na ameridhika!! Halafu hii tabia ya kusema mtu ameombwa kuja kufanyakazi ni tabia ya kijinga sana!! Km jk alimuomba atakuwa alimuomba kwa ajili ya kusaidia kupiga. Huyu ni mpigaji ndo maana katumbuliwa...!!!
Naona unamsemea aliyemuondoa. Amepiga shilingi ngapi!? Maana unajua mengi wewe.
 
Nchii hii imejaa sisi wendawazimu!...hivi serikalini unaweza kuajiliwa huku "serikali na wewe mkiwa katika mjqdala wa makubaliano?"

Ni utaratibu upi jamani watanzania wenzangu unaajiliwa, unapiga kazi wakato bado humjakubaliana malipo ya kazi? Mbona kama sielewi?

Eti walimu/mahakimu mnapomaliza masomo mnaajiliwa na serikali wakati bado mnadebate juu ya salary? Hivi kweli hii ni serkali au kilikuwa kikundi cha watakachokiwe kinakuwa?
Mkuu Umenichekesha Sana
 
Habari wanaJF,

Kufuatia kuteguliwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki taarifa za ndani zinasema bibie huyu kaonewa kwa sababu zilizoainishwa katika nukuzi ya taarifa hapa chini.

"Huyu Julieth ni mke wa Dr.Kairuki Mkurugenzi wa Mikocheni Hospital. Kabla ya kuja Tanzania alikua anafanya kazi South Afrika akilipwa mshahara wa USD 15,000. JK ndiye aliyemkuta SA akamuomba arudi nchini kuja kusaidia pale TIC baada ya Ole Naiko kustaafu. Kabla hajaja wakaset T&C kuwa her salary wont go bellow 18M Tzs.

Ikumbukwe SA alikua akilipwa 15K USD equals to 35M Tzs. Kwahiyo kukubali kulipwa 18M ni kukubali kusucrifice 17M kitu ambacho si rahisi kwa watu wengi. Lakini she did that for the sake of her country. But alipofika nchini TIC wakamwambia hawana scale ya 18M, wakataka kumlipa 5M. Huyu mama akakataa. She cant be that cheap kutoka mshahara wa 35M kule SA hadi 5M? Akamwomba JK arudi SA kuendelea na kazi yake, lakini JK akaagiza TIC wafanye salary review ili kuweza kuaccomodate madai yake. Kipindi chote hicho alikua hapokei mshahara b'se alikua hajafikia concesus na serikali. Sasa kabla TIC hawajakamilisha salary review ndio JPM akawa ametake power. Akawa anadiscourage mishahara mikubwa kwa wakuu wa mashirika ya umma.

TIC wakaogopa kuendelea na review ya Kairuki. Katika ufuatiliaji JPM akaambiwa kuna Mkurugenzi hajapokea mshahara tangu 2013. Lakini informers wake they didnt nail the whole story. Wao wakamwambia tu amekataa mshahara aliopangiwa anataka mkubwa zaidi na marupurupu makubwa. JPM akahamaki na kutengua uteuzi without knowing the truth. Hapa JPM kafanya kosa lakini simlaumu yeye, nalaumu informers wake. Basing on the facts provided huyu mama kaonewa sana and worse enough JPM hakumuita kumsikiliza. He just made decision basing from his informers.

This is typical injustice b'se principles of natural justice were abandoned. Ni bora JK angemruhusu arudi SA kuendelea na kazi yake"

Karibuni wadau.
Unatukaribisha tuchangie tutaaminije haya maneno yako kama yana ukweli? Weka mkataba wake hapa tuuone!
 
Usiongee kwa husia hao wakurugenzi ni wataalamu, waziri hachaguliwi kwa kuzingatia Taaluma aliyosomea na kazi ya Waziri ni kusimamia sera ya wizara,Hakuna jambo jipya katika hili NHC iko chini ya wizara ya Ardhi na MD anakula zaidi ya 30M,Tanesco iko chini ya Nishati na Madini na MD anakula zaidi ya 20M,TRA,BOT ziko chini ya Fedha n Mipango wakuu wake wanakula ndefu, TPDC wako chini ya Nishati na madini na MD wake anakula hela ndefu, sasa unaposema haiwezekani mkuu wa Taasisi kulipwa zaidi ya waziri unatumia reference za nchi gani?
Hizi Taasisi au Mashirika mengi yanazalisha au kutengeneza faida, usifananishe na wanasiasa/wawakilishi wa wananchi.
Ni Sawa Mkuu Lakn JPM Anataka Apunguze Hii Tofauti Maana Huku Ni Kudhurumiana Na Kunyonyana Tu
Twende Sawa Mkuu Tuheshimiane.
 
Habari wanaJF,

Kufuatia kuteguliwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki taarifa za ndani zinasema bibie huyu kaonewa kwa sababu zilizoainishwa katika nukuzi ya taarifa hapa chini.

"Huyu Julieth ni mke wa Dr.Kairuki Mkurugenzi wa Mikocheni Hospital. Kabla ya kuja Tanzania alikua anafanya kazi South Afrika akilipwa mshahara wa USD 15,000. JK ndiye aliyemkuta SA akamuomba arudi nchini kuja kusaidia pale TIC baada ya Ole Naiko kustaafu. Kabla hajaja wakaset T&C kuwa her salary wont go bellow 18M Tzs.

Ikumbukwe SA alikua akilipwa 15K USD equals to 35M Tzs. Kwahiyo kukubali kulipwa 18M ni kukubali kusucrifice 17M kitu ambacho si rahisi kwa watu wengi. Lakini she did that for the sake of her country. But alipofika nchini TIC wakamwambia hawana scale ya 18M, wakataka kumlipa 5M. Huyu mama akakataa. She cant be that cheap kutoka mshahara wa 35M kule SA hadi 5M? Akamwomba JK arudi SA kuendelea na kazi yake, lakini JK akaagiza TIC wafanye salary review ili kuweza kuaccomodate madai yake. Kipindi chote hicho alikua hapokei mshahara b'se alikua hajafikia concesus na serikali. Sasa kabla TIC hawajakamilisha salary review ndio JPM akawa ametake power. Akawa anadiscourage mishahara mikubwa kwa wakuu wa mashirika ya umma.

TIC wakaogopa kuendelea na review ya Kairuki. Katika ufuatiliaji JPM akaambiwa kuna Mkurugenzi hajapokea mshahara tangu 2013. Lakini informers wake they didnt nail the whole story. Wao wakamwambia tu amekataa mshahara aliopangiwa anataka mkubwa zaidi na marupurupu makubwa. JPM akahamaki na kutengua uteuzi without knowing the truth. Hapa JPM kafanya kosa lakini simlaumu yeye, nalaumu informers wake. Basing on the facts provided huyu mama kaonewa sana and worse enough JPM hakumuita kumsikiliza. He just made decision basing from his informers.

This is typical injustice b'se principles of natural justice were abandoned. Ni bora JK angemruhusu arudi SA kuendelea na kazi yake"

Karibuni wadau.

T 2016 JPM - namba inasomeka lakini????

kariuki.jpg
 
Habari wanaJF,

Kufuatia kuteguliwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki taarifa za ndani zinasema bibie huyu kaonewa kwa sababu zilizoainishwa katika nukuzi ya taarifa hapa chini.

"Huyu Julieth ni mke wa Dr.Kairuki Mkurugenzi wa Mikocheni Hospital. Kabla ya kuja Tanzania alikua anafanya kazi South Afrika akilipwa mshahara wa USD 15,000. JK ndiye aliyemkuta SA akamuomba arudi nchini kuja kusaidia pale TIC baada ya Ole Naiko kustaafu. Kabla hajaja wakaset T&C kuwa her salary wont go bellow 18M Tzs.

Ikumbukwe SA alikua akilipwa 15K USD equals to 35M Tzs. Kwahiyo kukubali kulipwa 18M ni kukubali kusucrifice 17M kitu ambacho si rahisi kwa watu wengi. Lakini she did that for the sake of her country. But alipofika nchini TIC wakamwambia hawana scale ya 18M, wakataka kumlipa 5M. Huyu mama akakataa. She cant be that cheap kutoka mshahara wa 35M kule SA hadi 5M? Akamwomba JK arudi SA kuendelea na kazi yake, lakini JK akaagiza TIC wafanye salary review ili kuweza kuaccomodate madai yake. Kipindi chote hicho alikua hapokei mshahara b'se alikua hajafikia concesus na serikali. Sasa kabla TIC hawajakamilisha salary review ndio JPM akawa ametake power. Akawa anadiscourage mishahara mikubwa kwa wakuu wa mashirika ya umma.

TIC wakaogopa kuendelea na review ya Kairuki. Katika ufuatiliaji JPM akaambiwa kuna Mkurugenzi hajapokea mshahara tangu 2013. Lakini informers wake they didnt nail the whole story. Wao wakamwambia tu amekataa mshahara aliopangiwa anataka mkubwa zaidi na marupurupu makubwa. JPM akahamaki na kutengua uteuzi without knowing the truth. Hapa JPM kafanya kosa lakini simlaumu yeye, nalaumu informers wake. Basing on the facts provided huyu mama kaonewa sana and worse enough JPM hakumuita kumsikiliza. He just made decision basing from his informers.

This is typical injustice b'se principles of natural justice were abandoned. Ni bora JK angemruhusu arudi SA kuendelea na kazi yake"

Karibuni wadau.

Atapangiwa kazi nyingine!

Besides, sidhani kama hao wasaidizi/informers unaowataja hapa kama wana cha kulaumika kwa kutambua JPM asivyo na subra! In fact hashauriki!
 
..mimi kwa kutengua hii ajira namuunga mkono JPM kwa maana moja tu kubwa...kwamba ameondoa sehemu ya nepotism katika ajira mojawapo hapa Tz....maana utawala wa JK ulitamalaki nepotism....haiwezekani kila kina ya nchi hii watu wanapeana ajira tu kisa wanajuana...

...huyu mamy mnasema hiyo ajira kapewa...je alifanyiwa vetting?...je huo mshahara wa dola 15,000/ huko south nani aliona hiyo salary slip?..au ni maneno ya kuambiana tu?....yani muda wote tangu 2013 mtu anafanyiwa salary review??wapi inafanyika hivyo duniani???..acheni bana...

...natambua yule waziri wa utumishi Angela Kariuki kaolewa na mtoto wa Kariuki...huyu dada nae mnasema kaolewa na mtoto wa Kariuki??..hivi unapata picha gani hapa??....mwacheni JPM atumbue majipu bana....
 
Habari wanaJF,

Kufuatia kuteguliwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki taarifa za ndani zinasema bibie huyu kaonewa kwa sababu zilizoainishwa katika nukuzi ya taarifa hapa chini.

"Huyu Julieth ni mke wa Dr.Kairuki Mkurugenzi wa Mikocheni Hospital. Kabla ya kuja Tanzania alikua anafanya kazi South Afrika akilipwa mshahara wa USD 15,000. JK ndiye aliyemkuta SA akamuomba arudi nchini kuja kusaidia pale TIC baada ya Ole Naiko kustaafu. Kabla hajaja wakaset T&C kuwa her salary wont go bellow 18M Tzs.

Ikumbukwe SA alikua akilipwa 15K USD equals to 35M Tzs. Kwahiyo kukubali kulipwa 18M ni kukubali kusucrifice 17M kitu ambacho si rahisi kwa watu wengi. Lakini she did that for the sake of her country. But alipofika nchini TIC wakamwambia hawana scale ya 18M, wakataka kumlipa 5M. Huyu mama akakataa. She cant be that cheap kutoka mshahara wa 35M kule SA hadi 5M? Akamwomba JK arudi SA kuendelea na kazi yake, lakini JK akaagiza TIC wafanye salary review ili kuweza kuaccomodate madai yake. Kipindi chote hicho alikua hapokei mshahara b'se alikua hajafikia concesus na serikali. Sasa kabla TIC hawajakamilisha salary review ndio JPM akawa ametake power. Akawa anadiscourage mishahara mikubwa kwa wakuu wa mashirika ya umma.

TIC wakaogopa kuendelea na review ya Kairuki. Katika ufuatiliaji JPM akaambiwa kuna Mkurugenzi hajapokea mshahara tangu 2013. Lakini informers wake they didnt nail the whole story. Wao wakamwambia tu amekataa mshahara aliopangiwa anataka mkubwa zaidi na marupurupu makubwa. JPM akahamaki na kutengua uteuzi without knowing the truth. Hapa JPM kafanya kosa lakini simlaumu yeye, nalaumu informers wake. Basing on the facts provided huyu mama kaonewa sana and worse enough JPM hakumuita kumsikiliza. He just made decision basing from his informers.

This is typical injustice b'se principles of natural justice were abandoned. Ni bora JK angemruhusu arudi SA kuendelea na kazi yake"

Karibuni wadau.
Jamani Watanzania jaribu tu kufikiria mpaka leo hii kwa nini huyu dada hakuacha kazi kama aliona kwamba ameonewa katika kiwango cha mshahara. Tangu 2013 alikuwa anasubiri nani anegotiate mshahara wake? Always employment agreement is at will agreement, my employer can fire me without notice and I can resign or quite also. So why did she quit and find other green pastures somewhere else?
 
Habari wanaJF,

Kufuatia kuteguliwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki taarifa za ndani zinasema bibie huyu kaonewa kwa sababu zilizoainishwa katika nukuzi ya taarifa hapa chini.

"Huyu Julieth ni mke wa Dr.Kairuki Mkurugenzi wa Mikocheni Hospital. Kabla ya kuja Tanzania alikua anafanya kazi South Afrika akilipwa mshahara wa USD 15,000. JK ndiye aliyemkuta SA akamuomba arudi nchini kuja kusaidia pale TIC baada ya Ole Naiko kustaafu. Kabla hajaja wakaset T&C kuwa her salary wont go bellow 18M Tzs.

Ikumbukwe SA alikua akilipwa 15K USD equals to 35M Tzs. Kwahiyo kukubali kulipwa 18M ni kukubali kusucrifice 17M kitu ambacho si rahisi kwa watu wengi. Lakini she did that for the sake of her country. But alipofika nchini TIC wakamwambia hawana scale ya 18M, wakataka kumlipa 5M. Huyu mama akakataa. She cant be that cheap kutoka mshahara wa 35M kule SA hadi 5M? Akamwomba JK arudi SA kuendelea na kazi yake, lakini JK akaagiza TIC wafanye salary review ili kuweza kuaccomodate madai yake. Kipindi chote hicho alikua hapokei mshahara b'se alikua hajafikia concesus na serikali. Sasa kabla TIC hawajakamilisha salary review ndio JPM akawa ametake power. Akawa anadiscourage mishahara mikubwa kwa wakuu wa mashirika ya umma.

TIC wakaogopa kuendelea na review ya Kairuki. Katika ufuatiliaji JPM akaambiwa kuna Mkurugenzi hajapokea mshahara tangu 2013. Lakini informers wake they didnt nail the whole story. Wao wakamwambia tu amekataa mshahara aliopangiwa anataka mkubwa zaidi na marupurupu makubwa. JPM akahamaki na kutengua uteuzi without knowing the truth. Hapa JPM kafanya kosa lakini simlaumu yeye, nalaumu informers wake. Basing on the facts provided huyu mama kaonewa sana and worse enough JPM hakumuita kumsikiliza. He just made decision basing from his informers.

This is typical injustice b'se principles of natural justice were abandoned. Ni bora JK angemruhusu arudi SA kuendelea na kazi yake"

Karibuni wadau.
15K USD sawa na 35M?!
Dooh! Hii conversion ni ya mwaka gani mkuu?

April 2013.
1USD = 1,630.3474 Tshs
15,000 USD = 24,455,211 Tshs

fa256769991881e22ca9eeebe697abc3.jpg
 
Mkuu tupo kwenye meli moja namtaka hata Trump achukue tu huko US ili atukomeshe waafrika tunapenda kuimba imba utendaji zero.! JPM alipokwenda Kagame alienda kimkakati moja wapo ni kupata ni vipi Rwanda is the best country in EA?? PK alimpa hivi asichekecheke na watu usoni na ndivyo JPM anavyofanya.. Huyu mama alimaliiza first degree hapo mlimani na master ndo alichukulia South na kazi akapata huko..sasa mtu mwenye akili timamu umwambie eti aache 35m aje bongo ale 5m kwa ajili ya uzalendo atakuona ww ni hamnazo atii..huyo alikua jipu, jamani mengine siri za ndani ngoja tuweke akiba za maneno!
Atumbuliwe Tu Hakuna Namna
 
Let me tell you. Ukiona Rais kamfukuza kazi mtu ujue huyo mtu kafuatiliwa nyendo/mwenendo wa kazi yake before. So Rais hakurupuki yuko sahihi 100% JPM wanyoosheeee.... wezi hao wametuibia sanaaaa... sasa basi inatosha eeeeeh!!!!
 
Back
Top Bottom