abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Katika mambo yanakera moja wapo ni ili la Tundu Lissu kutaka kuhakikishiwa ulinzi ilihali ni mtu mwenye makosa mengi
Tundu Lissu analia mitandaon kuwa ameshutumiwa kwa mambo mengi hivyo anaiomba Serikali ya Rais Samia Imuangalie kwa jicho la pili na kuomba kuhakikishiwa uhuru wake, yaani lugha nyepesi ni kwamba aambiwe akirudi Tz hatokamatwa wala kushtakiwa
Yeye ni Mwanasheria kama kweli anazijua ni shutma tu zimetolewa juu yake kwanini asiende Mahakamani kuzikanusha shutma hizo.
Leo nimeona ajabu eti Zitto, Nape na Tundu Lissu wapo kwenye kikao wanajadili mstakabali wa Taifa letu
Nachosubiri ni kuona msimamo wa Rais juu ya Tundu Lissu endapo akamuacha na kuingilia Mahakama ili kumkingia kifua Tundu Lissu basi atambue kuwa kashiriki kusema kuwa Hayati Magufuli ndiye aliempiga Risasi Tundu Lissu
Sisi watanzania wenye kujielewa tunataka Tundu Lissu aje atuthibitishie tuhuma zake kuwa Rais Hayati Magufuli ndiye aliempiga risasi kama alivyosema yeye
Tundu Lissu analia mitandaon kuwa ameshutumiwa kwa mambo mengi hivyo anaiomba Serikali ya Rais Samia Imuangalie kwa jicho la pili na kuomba kuhakikishiwa uhuru wake, yaani lugha nyepesi ni kwamba aambiwe akirudi Tz hatokamatwa wala kushtakiwa
Yeye ni Mwanasheria kama kweli anazijua ni shutma tu zimetolewa juu yake kwanini asiende Mahakamani kuzikanusha shutma hizo.
Leo nimeona ajabu eti Zitto, Nape na Tundu Lissu wapo kwenye kikao wanajadili mstakabali wa Taifa letu
Nachosubiri ni kuona msimamo wa Rais juu ya Tundu Lissu endapo akamuacha na kuingilia Mahakama ili kumkingia kifua Tundu Lissu basi atambue kuwa kashiriki kusema kuwa Hayati Magufuli ndiye aliempiga Risasi Tundu Lissu
Sisi watanzania wenye kujielewa tunataka Tundu Lissu aje atuthibitishie tuhuma zake kuwa Rais Hayati Magufuli ndiye aliempiga risasi kama alivyosema yeye