mr sangoyi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 344
- 337
TUMECHOKA NA MASUALA YA KUTUMBUANA DAILY KM NDIO IMEKUWA SERA AU DIRA YA TAIFA!!!! TUNAHITAJI ISSUE ZA MAENDELEO NDIO ZITAWALE KTK MEDIA BHANA!!!!!!
Hiyo si kazi yake yeye ameleta habari inatosha wenye vitengo vyao wafanyie kazi kama ni uongo si utajulikana?.Tatizo la vyeti feki kila mtu ana kiri ni kubwa mno nchini mtu alaleta habari mnaanza kumzodoa? Mimi namjua mtu ana Masters na hajawahi kuwa na degree wala advanced diploma na ana kazi na nafasi kubwa.Hii nchi achana nayo.Mkuu thread haijakamilika utata uko wapi? Lete ushaidi af ni bora ungetaja cheo cha huyo mtu kuliko kutaja jina direct wakati hauna ushaidi wowote. Pathetic
Rais John Magufuli masters fake ipo NSSF ya Dominic Mbwete. Mhe Rais alipokuwa kwenye ziara bandarini na siku ya uzinduzi wa ndege mpya alieleza kuwa anawatafuta watu wenye elimu za juu ambao ni fake na wamepewa madaraka. NSSF yupo Acting Director wa DHRA anayedai kuwa masters yake ameipata University of Lincorn UK, hii Masters ina utata.
Waziri Mhagama ndiye waziri ambaye NSSF ipo chini yake, tunamuomba afuatilie uozo huu
Elimu nacho kigezo baaabu!Acha majungu.. Kakuchukulia mpenzi wako nini? Hatuangalii elimu.. Tunaangalia uwezo wa kudeliver...
Elimu nacho kigezo baaabu!
Hahaaaa sasa unatarajia wao wanatoa mrejeo au mlinganisho wapi zaidi ya kukopi na ku-paste!Ndio maana mnaondoa fao la kujitoa sababu akili zenu ni copy & paste kutoka huko Ulaya,.....i,e hamtaki kushughulisha akili zenu kutatua matatizo yanayoikumba nchi hii zaidi ya kusema dunian kote hakuna fao la kujitoa as if hiyo dunia imekatazwa kuiga kutoka kwenye.....bure kabisa wasomi wa Tz
Nadhani anayo kutokana akianza kuwajibu wapinzani wake kwenye majukwaa anatumia sana thread nazoniona JF humu ambazo zinamsimangaga.Atakuwa amekukera hadi kuamua kumuanika hapa! ila sija hakika kama JPM ana a/c hapa Jamiiforums.
Sasa hivi mkuu watu wamechanganyikiwaUK hakuna chuo kama hicho cha Lincorn ila kuna chuo kikuu cha Lincoln au University of Lincoln.
Ni vizuri pia kufanya utafiti kabla ya kuleta migongano.
Sasa, utata wa hiyo Masters ni upi?
Tufafanulie.
Unauhakika kama anadngnya? Km ni kweli ni lazima aseme na km uongo anachofnya n makosaAcha majungu.. Kakuchukulia mpenzi wako nini? Hatuangalii elimu.. Tunaangalia uwezo wa kudeliver...
Bob bob boob... acha hizo kachaaangalia sasa uandishi wako unaonesha kuwa wewe ni mswaziiiii....unashindwa kucontrol tabia zako hadi katika maandishi !!!
Acha majungu.. Kakuchukulia mpenzi wako nini? Hatuangalii elimu.. Tunaangalia uwezo wa kudeliver...
he was,he is and will be an avtive member for your infoAtakuwa amekukera hadi kuamua kumuanika hapa! ila sija hakika kama JPM ana a/c hapa Jamiiforums.
Kama kigezo cha elimu kilichomfanya akaajiriwa ni masters yake na ukaja baadae ikajulikana ni ya kugushi huoni kua huko ni kujipatia ajira kwa njia ya udanganyifu?Acha majungu.. Kakuchukulia mpenzi wako nini? Hatuangalii elimu.. Tunaangalia uwezo wa kudeliver...