Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

Chadema mnahaha sana. Hamuamini kama mnashindwa ilaa ndo hvyo hali halisi imeshawaonesha kwamba ndo mnafutika ktk ramani ya siasa so mnabaki kutapatapa
 
we nawe ndio walewale akili kama za huyo mallya... subiri uone kama mtafanikiwa...

hakunq mtu wa kusapoti huo ujinga aisee yaani viongozi wa cdm ni kulalamika kila kukicha kila jambo mnahisi mnaonewa sasa imekuwa kero hizo ni dalili za kushindwa.

Sioni dalili za kufanyika kwa uchaguzi mkuu mwezi wa kumi,JK anapanga kujiongezea muda wa kubaki madarakani na jambo hilo halikubaliki......Mbowe cha ajabu sasa hivi wako kwenye kampeni. Tume haiwezi kumaliza zoezi la kuandikisha wananchi wote kwa sababu muda uliopangwa hautoshi na BVR imeshindwa kuleta ufanisi katika uchaguzi wa Kenya kwa hiyo hapa kwetu haitowezekana .......J Mnyika cha ajabu watu 22million wamejiandikisha, hawa ndio wanasiasa wetu wa Tanzania.
 
Wazungu huwa wakiwaangalia CDM na CUF wanawadharau sana alianza Seif kuwaambia wazuie misaada kwa Zanzibar akafanikiwa mwanzo lakini badae wakamdharau.

Sasa wameanza ujinga mwingine ICC haushitaki wewe CDM, Demokrasia hii imewalevya mnaropoka bila kufikiri mnatuaibisha

Mmeshindwa tayari, Kampeni zenyewe mnafanya za ujanja ujanja makao makuu ya mikoa na baadhi ya Wilaya hamjafika kabisa mtawezaje kushinda.


Mnatengeneza Mafuriko kuvuta Hisia za Watu hizi ni Kampeni za kizamani Sana, Ruanda Nzovwe Mbeya ni Uwanja mdogo sana kusema ni Historia imevunjwa

Aibu yenu.

Ukifanikiwa kusoma malengo makuu ya uwepo wa mahakama hii ya ICC ndo utaelewa nn tunachozungumza

Unaongea km kiongoz wko JK,et mahakama hii tangu kuanzishwa kwake inakandamiza viongozi wa nchi za kiafrika,ww unafikir viongoz wa ulaya na Asia wanaropoka km hao viongoz wenu?ulishawahi ckia nchi zao wakigoma kuondoka madarakani km kina Nkurunzinza?uliwahi ckia wakigombania raslmali za nchi zao wenyewe?uliona kiongoz akivunja katiba ya nchi Yao?

Kuna upuuz mkubwa sana unaofanywa na viongozi wetu wa kiafrika ambao unakinzana na mkataba wa icc,hawajasoma vzr mkataba ule na kuuelewa

Fatue Bensudar Ana kazi ya ziada kwa viongoz wa afrika
 
ubarikiwe mkuu. Umeongea mema yote mwenye maskio na asikie lakn na mpumbavu acha aendelee na upumbavu.

Hivi kwa nini ccm wanalazimasha watu wasilinde kura zao kwa kigezo cha fujo? Nani ataleta fujo kama si police na ccm. Hv mtu ukikaa mita 200 kimya umetulia unatazama ndio fujo hizo. Hapo ndio ccm wanataka waibe kura hata kwa nguvu. Tumeona chaguzi nyingi wakala wakikimbia na box la kura. Msitudanganye wala msitutishe kisa mnayo risasi na mabomu.
 
Sioni dalili za kufanyika kwa uchaguzi mkuu mwezi wa kumi,JK anapanga kujiongezea muda wa kubaki madarakani na jambo hilo halikubaliki......Mbowe cha ajabu sasa hivi wako kwenye kampeni. Tume haiwezi kumaliza zoezi la kuandikisha wananchi wote kwa sababu muda uliopangwa hautoshi na BVR imeshindwa kuleta ufanisi katika uchaguzi wa Kenya kwa hiyo hapa kwetu haitowezekana .......J Mnyika cha ajabu watu 22million wamejiandikisha, hawa ndio wanasiasa wetu wa Tanzania.

hahaha asante mkuu kwa kuona hilo...
hawa watu malalamiko yamezidi sana kila kitu wao wanaona ni hujuma tu.
 
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...

mfia maji haachi kutapatapa

Wewe usie elewa haki yako ndo mjinga tena mjinga wa kuzikwa,hivi ni nani asiejua kikwete anawatisha watu,sheria na kanuni zinamruhusu mtu kupiga kura,alafu kukaa mita 200 kutoka eneo la kituo cha kura leo JK anaanza kutisha watu,eti ukipiga rudi nyumbani usipo fanya hivyo utaipata nini maana yake.
 
Wewe usie elewa haki yako ndo mjinga tena mjinga wa kuzikwa,hivi ni nani asiejua kikwete anawatisha watu,sheria na kanuni zinamruhusu mtu kupiga kura,alafu kukaa mita 200 kutoka eneo la kituo cha kura leo JK anaanza kutisha watu,eti ukipiga rudi nyumbani usipo fanya hivyo utaipata nini maana yake.

msijifanye hamkuelewa alichomaanisha.
piga kura rudi kwenu kama hutaki basi kaa nje ya eneo husika ikiwa huna shughuli maalumu hapo maana wengine ofisi zao au makazi yapo ndani ya eneo la kituo, yeye alimaanisha wanaotaka kubaki ndani ya eneo.
ila kumbuka hata ikiwa mita 300 na ukaleta fujo utapigwa tu maana watu wengine wanapenda sana sifa za kijinga.
 
Hivi kwa nini ccm wanalazimasha watu wasilinde kura zao kwa kigezo cha fujo? Nani ataleta fujo kama si police na ccm. Hv mtu ukikaa mita 200 kimya umetulia unatazama ndio fujo hizo. Hapo ndio ccm wanataka waibe kura hata kwa nguvu. Tumeona chaguzi nyingi wakala wakikimbia na box la kura. Msitudanganye wala msitutishe kisa mnayo risasi na mabomu.

mkuu sina haja ya kukujibu. Hebu msome huyo jamaa niliyemquote na uisome post yangu uliyoiquote.

Ukishamjua kuwa flan ni kichaa haina haja ya kulumbana naye
 
Mmeshampiga chini Tundu Lisu? Tamko kama hilo lilipaswa kutolewa na Tundu Lisu. Je ndo kusema nafasi yake imechukuliwa na mwenzao na wenye Chama?

Lisu aache kampeni aje atoe au asome tamko tu,kuwa na akili wewe,lisu ni mwanasheria mkuu wa chama,vitu kama hivyo ana tumiwa email anafanya review then anaruhusu watu watoe tamko.
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango.

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete ameshitakiwa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Mahakama ya kihalifu Uholanzi kwa sababu anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.

Mallya alisema kuwa Mashitaka hayo yameelekezwa Umoja wa Mataifa lakini pia nakala za tuhuma dhidi ya Kikwete zimepelekwa pia Umoja wa Afrika (AU) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita iliyopo The Hegue Uholanzi.

Kwa mujibu wa wakili huyo wa Chadema, barua hiyo ya tuhuma dhidi ya Kikwete imesainiwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Prof. Abdallah Safari.

Mashataka haya yanakuja ikiwa ni miezi miwili tangu Rais Kikwete kuilamu Mahakama hiyo ya kihalifu kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.

Kauli hiyo ya Rais Kikwete aliitoa jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa 16 wa Umoja wa Wanasheria wa Jumuiya ya Maendeleo ya Uchumi Kusini mwa Afrika-SADC,

Hiyo ilikuwa ni siku tu moja baada ya ICC kueleza kwamba inafuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini Tanzania.

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda, alikaririwa na vyombo vya habari vya Aljazeera na Gambia Today akisema kuwa Mahakama hiyo inatazama kwa umakini mkubwa yanayotokea Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu kama ilivyofanya katika nchi za Kenya, Ivory Coast na Congo na kwamba itachukua hatua za haraka kama kutakuwa na uvunjaji wa haki za binadamu.

Kauli hiyo ya Bensouda ilitanguliwa na ile iliyotolewa na mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa.

Lowassa alilazimika kusema hayo katika ziara ya kutafuta wadhamini katika mikoa ya Arusha na Mwanza, Lowassa akilitahadharisha Jeshi la Polisi juu ya uwepo wa Mahakama ya ICC kutokana na kitendo chake cha kutumia nguvu dhidi ya wapinzani kwa kuupiga mabomu msafara wake.

Hivi JK angekuwa kama Paul Kagame ingekuaje? da ama kweli Tanzania inaonekana tuna hamu sana ya kupata kiongozi dikteta
 
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...

mfia maji haachi kutapatapa
Unataka tukashitaki wapi Kisutu?
 
Hivi JK angekuwa kama Paul Kagame ingekuaje? da ama kweli Tanzania inaonekana tuna hamu sana ya kupata kiongozi dikteta

Hivi unafikiria tukiendelea kuchekeana nchi itasonga mbele ?? Bora dikteta tu ,Kagame sasa hivi ana Boieng za kutosha sisi tunakodisha ndege ambayo sijui iko kwenye matengenezo France na hela ya kukodi inalipwa japo alifanyi kazi ,huku si kuchekeana na manyani
 
machozi ya nguvu ya umma hayawezi kuzuiwa na familia ya kikwete na wafuasi wao kwa maslahi yao, wana wa Mungu tunaihangaikia nchi yetu Mungu yuko pamoja nasi, kitaeleweka tu
 
Back
Top Bottom