Wajinga wenye husuda, chuki na choyo na gubu ya mioyo ndio mnaandika km ulivyoandika hapa. Kwa akili za maiti hivi lazima ufe maskini
we mbwa jibu hoja, kwanini mr jk anakimbilia kwenye sherehe za uhuru kenya wakati ya kwetu juzi alisusiwa na marais wote wa EAC? Usipende kutetea ujinga, tabia hii ya kujikombakomba inatuudhi watz