PostGE2025 Rais hana Mamlaka Kisheria ya kutoa msamaha kwa washtakiwa/watuhumiwa

PostGE2025 Rais hana Mamlaka Kisheria ya kutoa msamaha kwa washtakiwa/watuhumiwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mvinyo mpya

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
2,482
Reaction score
5,621
Wakuu vyombo vyetu vya habari ni vimepigwa ganzi! Wasomi wamepigwa ganzi! Nawaelewa maana nchi hii kupotea ni dakika.

Juzi rais anasema amewasamehe walioshtakiwa! Kimsingi rais hana mamlaka ya kusamehe washtakiwa/watuhumiwa.

Prerogative of mercy ambayo rais anayo ni kwa watu waliohukumiwa(convicted).

Sasa hili la rais kusema natoa msamaha in the context ya kilichotokea haijakaa vizuri, ikizingatiwa yeye ni sehemu ya shutuma hizi nzito. Then anatoa msamaha ambao kisheria sio msamaha.

Nafahamu serikali inayo mamlaka ya kufuta mashauri kupitia nolle prosqui (powers za DPP). Swali ni huu ni msamaha? Jibu langu ni hapana sio msamaha. Maana msamaha hutolewa kwa waliokosea sio watuhumiwa!

Kimsingi nolle prosqui ipo kwa ajili ya public interest, ni sahihi kutumia nolle prosqui kwa mazingira ya sasa hasa ukizingatia mashtaka yenyewe ni ya kubumba. Nolle pia inaweza kutumika ukiwa prosecutor ataona hana ushahidi wa kutosha kumfunga mtuhumiwa au kwa sababu za kiusalama, n.k.

Kamwe mamlaka ya nolle sio msamaha na Wala rais hana mamlaka ya kusamehe washtakiwa....by the way kusamehe washtakiwa ni kuingilia mhimili wa mahakama.

Lakini ona magazeti, ona wabunge, rais amesanehe washtakiwa!!!! Naelewa ni ganzi.

Mambo haya mpaka lini?
 
Bongo ana mamlaka ya kufanya chochote, katiba ni kijitabu tu.
 
Wakuu vyombo vyetu vya habari ni vimepigwa ganzi! Wasomi wamepigwa ganzi! Nawaelewa maana nchi hii kupotea ni dakika.

Juzi rais anasema amewasamehe walioshtakiwa! Kimsingi rais hana mamlaka ya kusamehe washtakiwa/watuhumiwa.

Prerogative of mercy ambayo rais anayo ni kwa watu waliohukumiwa(convicted).

Sasa hili la rais kusema natoa msamaha in the context ya kilichotokea haijakaa vizuri, ikizingatiwa yeye ni sehemu ya shutuma hizi nzito. Then anatoa msamaha ambao kisheria sio msamaha.

Nafahamu serikali inayo mamlaka ya kufuta mashauri kupitia nolle prosqui (powers za DPP). Swali ni huu ni msamaha? Jibu langu ni hapana sio msamaha. Maana msamaha hutolewa kwa waliokosea sio watuhumiwa!

Kimsingi nolle prosqui ipo kwa ajili ya public interest, ni sahihi kutumia nolle prosqui kwa mazingira ya sasa hasa ukizingatia mashtaka yenyewe ni ya kupumba. Nolle pia inaweza kutumika ukiwa prosecutor ataona hana ushahidi wa kutosha kumfunga mtuhumiwa au kwa sababu za kiusalama, n.k.

Kamwe mamlaka ya nolle sio msamaha na Wala rais hana mamlaka ya kusamehe washtakiwa....by the way kusamehe washtakiwa ni kuingilia mhimili wa mahakama.

Lakini ona magazeti, ona wabunge, rais amesanehe washtakiwa!!!! Naelewa ni ganzi.

Mambo haya mpaka lini?
News flush son, currently wanafuata mihemko si sheria

Is why wakienda mahakamani wanaburuzwa
 
Wakuu vyombo vyetu vya habari ni vimepigwa ganzi! Wasomi wamepigwa ganzi! Nawaelewa maana nchi hii kupotea ni dakika.

Juzi rais anasema amewasamehe walioshtakiwa! Kimsingi rais hana mamlaka ya kusamehe washtakiwa/watuhumiwa.

Prerogative of mercy ambayo rais anayo ni kwa watu waliohukumiwa(convicted).

Sasa hili la rais kusema natoa msamaha in the context ya kilichotokea haijakaa vizuri, ikizingatiwa yeye ni sehemu ya shutuma hizi nzito. Then anatoa msamaha ambao kisheria sio msamaha.

Nafahamu serikali inayo mamlaka ya kufuta mashauri kupitia nolle prosqui (powers za DPP). Swali ni huu ni msamaha? Jibu langu ni hapana sio msamaha. Maana msamaha hutolewa kwa waliokosea sio watuhumiwa!

Kimsingi nolle prosqui ipo kwa ajili ya public interest, ni sahihi kutumia nolle prosqui kwa mazingira ya sasa hasa ukizingatia mashtaka yenyewe ni ya kupumba. Nolle pia inaweza kutumika ukiwa prosecutor ataona hana ushahidi wa kutosha kumfunga mtuhumiwa au kwa sababu za kiusalama, n.k.

Kamwe mamlaka ya nolle sio msamaha na Wala rais hana mamlaka ya kusamehe washtakiwa....by the way kusamehe washtakiwa ni kuingilia mhimili wa mahakama.

Lakini ona magazeti, ona wabunge, rais amesanehe washtakiwa!!!! Naelewa ni ganzi.

Mambo haya mpaka lini?
Kitwanga kafika huku? Kwikwikwikwiwi
 
Back
Top Bottom