Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
yaani huyu ni pumba tupu. ... wawe wanafundishwa kuongea kwenye media.
kuwe na training kabisaa
yaani huyu ni pumba tupu. ... wawe wanafundishwa kuongea kwenye media.
Msanii wa bongo ukimpa simu kali,pamba na demu mkali...umetimiza ndoto zake.
Mbona Real Madrid haijaja tanzania mpaka leo?kauli za jk hupaswi kuzitilia maanani
Alishapitiwa mpaka akapitiliza!Kapitiwa mwie radhi
una hakika ni mdada huyo my brother.... shauri yako
kuwe na training kabisaa