Rais hakukosea kusema atamleta Usher Raymond

Rais hakukosea kusema atamleta Usher Raymond

Hivi Rais akiambiwa tu na mtu yeyote anatekeleza kumbe?????!!!!
 
Wasanii wa kibongo wao wanajali kuhongwa tu na kuunda team mitandaoni ili wauze sura mitaani.
 
nilitaka kushangaa kwamba aliyefunguwa thread hii awe na uwezo wa kuandika hivi.
 
hata aliyeruka uzio kwenda kumshika kaka naye ndio kaumaarufu kake na nasikia kimempatia demu mkali.

Umeona mkuu vichwa wanaishi kwa maarifa kibao ila "nylons" aaaanh wanaishi laini kabisa!!!!!
 
nilitaka kushangaa kwamba aliyefunguwa thread hii awe na uwezo wa kuandika hivi.

Matola si tulikubaliana siku hizi hatutifui sababu tunaelekeza prayoriti kwenye familia???!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hata aje Barrack obama kutoa semina, hakuna kitu cha maana watakachokifanya
 
Back
Top Bottom