yohana kaitira
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 258
- 238
Ngeri
Nchi ilipinda sioo??Tunanyoosha kwanza nchi,
Hatutaki watu waombewe,
"Mimi ndiye rais "by magufuli.Mimi naamini Magufuli anaamini kuna watu wanataka Urais wake ndo maana hathubutu kusafiri nje ya nchi...Imagine tu marais wenzake wote wako UN kwenye kikao kikubwa tu cha security council lkn jamaa kwa mara nyingine kaingia mitini...ANAOGOPA NINI? Kwamba akisafiri anaweza kukuta mtu mwingine kakalia kiti chake ama? Take a jet Sir hakuna mtu atafanya hayo unayoyahofia!
Nchi ilipinda sioo??
Nani alipindisha??
Nimecheka sanaMkuu kwenda kule ktk vile vikao ajipange....
Kule haendi kuropoka ropoka kma anavyopokaga hapa bongo na notebook yake ya Tshs.300/=
Huku akiongea anarusha rusha mikono KAma anapiga mbizi....kule ni madokta OG sio udokta wake wa kuungaunga...
Mbabaishaji tu yule hana lolote mzugaji
Hiii akili huwa naiwaza kila siku....alietoa hili wazo atakuwa taaahiraTunatengeneza mitumba kupeleka Ulaya na Asia na Marekani. Sijui ni vizazi gani watavaa hiyo mitumba inayotoka Tanzania.
Naibu waziri haingii kwenye kikao cha baraza la mawaziriHana sababu yakwenda huko, mwakilishi anatosha.
Ndezi sana wewe ubongo wa kuku... Rais gani mwafrika anabeba gari Afrika kwenda nayo US kwa msafara wake? Unaugua kifaduro si bureMwakilishi anaenda kama wewe na mimi tunavyoenda.So cheap. Kuna marais wanaenda na magari hata 20 na kuendelea. Na wasaidizi lukuki. Nani analipia hizo gharama? Hivi hili bara linanufaikaje na vikao vyao? So sad....
Ndezi sana wewe ubongo wa kuku... Rais gani mwafrika anabeba gari Afrika kwenda nayo US kwa msafara wake? Unaugua kifaduro si bure
Wakuu wa nchi wote wanaokwenda wenyewe wao pia hawana sbabu ya kwenda huko? kwa nini basi wengi wao wameenda?Hana sababu yakwenda huko, mwakilishi anatosha.
HujakoseaMimi naamini Magufuli anaamini kuna watu wanataka Urais wake ndo maana hathubutu kusafiri nje ya nchi...Imagine tu marais wenzake wote wako UN kwenye kikao kikubwa tu cha security council lkn jamaa kwa mara nyingine kaingia mitini...ANAOGOPA NINI? Kwamba akisafiri anaweza kukuta mtu mwingine kakalia kiti chake ama? Take a jet Sir hakuna mtu atafanya hayo unayoyahofia!
Tusubiri huenda atajitokeza public kujibu hii hoja,.Wakuu wa nchi wote wanaokwenda wenyewe wao pia hawana sbabu ya kwenda huko? kwa nini basi wengi wao wameenda?