Rais Dr. John Pombe Magufuli na mwendelezo wa kutokuhudhuria vikao vya Kimataifa nje ya nchi

,
Mimi mkuu wananihemu kaba baba yao .na nimeamua wakae baada ya kaka yao kunieleza hali halisi na mama yao mdogo. Kweli sitangazi lakini watoto wale wanamlaumu sana Ngosha. Wanamlilia sana mama yao. Baba yao aliwaacha anziia 2013 na wanasema ana mke mwingine. History ni ndefu mungu atawasidia tu. Wakiamua kuondoka sawa sintawafukuza na nikiwa nitawaangalia kama watoto wangu.
yap take that responsibility mkuu ndio undugu wenyewe huo!!!
 
Uelewa wa kisiasa/ uongozi ni kikwazo. Kama huwezi kujenga hoja utaieleza nini jumuiya ya kimataifa?
 
Kuna la maana lipi kwenye vikao hivyo? Au swala ni kuwepo tu? Kama hakuna ufumbuzi wa matatizo yetu wala huko hakuna ulazima wa kwenda
 
Madiktator wote Duniani hawakubaliani na Sera ya Umoja wa Mataifa amboyo kimsingi inasisitiza utawala wa sheria na Haki za binadamu. Jamaa akili yake inawaza kutawala daima, hataki kukosolewa hata kidgo. Hofu yake UNGA watamkosoa openly akazimia huko huko.
 
It could vividly make sense kama asingetuma uwakilishi kabisaaa seats zetu zibaki wazi ndio hoja ya eti mikutano haina maana au kubana matumizi otherwise zipo sababu za yeye kuiogopa hii mikutano
Haina maana. angeweza kwenda na kidosho na kulala hotelini na wala watu wasingejua. Mbona tunapoteza muda kujadili kitu hewa.
awamu ya nne walienda sana nje. Wameturudishia nini zaidi ya madeni na kutowajibika?
 
Rais Magufuli amekosa kikao kingine cha United Nation General Assembly (UNGA) kinachofanyika New York kuanzia Leo tarehe 18 Sept mpaka tarehe 20.

Na katika kikao hicho Rais Magufuli anawakilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Dr. Augustine Mahiga na kati ya hoja nyingi za Msingi zitakazo ongelewa moja inahusu kuchunguzwa kwa nchi chache za kiafrika moja wapo ikiwa Tanzania for violation of sanctions imposed on Korea Kaskazini.

Vikao vingine alivyokosa ni pamoja na UNGA kilichofanyika Nov 2015, SADC Meeting na vingine vingi. Na kwa niaba yake amekuwa akiwatuma\kuwakilishwa na Vice Pres.

Samia Suluhu, Waziri Mkuu Majaliwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje.
Swali ni Je...??

1. Kama nikubana matumizi mbona anatuma wawakilishi.

Wadau
Au kuna sababu nyingine za msingi zaidi..
Wewe huyo huyo kipindi cha JK ulitokwa povu, "oh Rais anasafiri sana nje" leo tena wewe huyu huyu unapayuka bila haya, oh..Rais anakosa mikutano mingi, idiot, kenge, dog ×100
 
RAS SIMBA popote ulipo nenda mitaa ya pale karibu na FERI wanakuita cjui magogoni pana jengo jeupe kubwa jeupe nenda kule ndani kuna mzee mmoja anaitwa sizonje naomba ukamfundishe kingereza. malipo utalipwa na watanzania
 
Mkuu yani tumepata raisi bomu mambo ya kidiplomasia hajui hata chembe hata presentation za kidiplomasia hajui mtu hajawahi kuwa hata monitor unategemea utashi wa uongozi ataupatia wapi poor to him
Lile dirisha alilochana je?
 
Anahitajika HARD TALK, BBC na CNN akafafanue hali ya kisiasa injini, usalama, na katiba mpya
 
anaogopa vibaka kama nyinyi mlizoea kudokoa
Kweli mkuu umenikumbusha alisema yeye haendi kwasababu wapigaji ni wengi watapiga akiwa hayupo eti atakuwa akienda akistaafu sasa hivi ananyoosha inji. Lakini nimesikia BBC JK alikuwepo huko lakini kwenye mkutano mwingine pembeni na hiyo assembly
 
Tatizo vikao vingi havina lolote la maana. Ni kula posho tu. Ukweli acha uitwe ukweli. Africa wanaoiangamiza ni viongozi wasiojari waafrika maskini wanaendeleaje. Wao ni kujipa uteule na kula bata tu.
Acha JPM akae magogoni mpaka kieleweke...hata hivyo yule mwingine bado mbona anasafiri sana. Halafu siku hizi ni mtunzi mzuri wa nahau na methali baada ya kuachia madaraka. Naye alikuwa baba haambiliki amesahau tu
Wacha kabisa kumsema vibaya JK kila mwaka tulikula nyongeza ya mshahara japo tulilalamika ila ameonekana bora kuliko huyu aliyeleta mapanga shaa yanayox
 
Back
Top Bottom