Medicci
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 553
- 915
Rais Magufuli amekosa kikao kingine cha United Nation General Assembly (UNGA) kinachofanyika New York kuanzia Leo tarehe 18 Sept mpaka tarehe 20.
Na katika kikao hicho Rais Magufuli anawakilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Dr. Augustine Mahiga na kati ya hoja nyingi za Msingi zitakazo ongelewa moja inahusu kuchunguzwa kwa nchi chache za kiafrika moja wapo ikiwa Tanzania for violation of sanctions imposed on Korea Kaskazini.
Vikao vingine alivyokosa ni pamoja na UNGA kilichofanyika Nov 2015, SADC Meeting na vingine vingi. Na kwa niaba yake amekuwa akiwatuma\kuwakilishwa na Vice Pres.
Samia Suluhu, Waziri Mkuu Majaliwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje.
Swali ni Je...??
1. Kama nikubana matumizi mbona anatuma wawakilishi.
Wadau
Au kuna sababu nyingine za msingi zaidi..
Na katika kikao hicho Rais Magufuli anawakilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Dr. Augustine Mahiga na kati ya hoja nyingi za Msingi zitakazo ongelewa moja inahusu kuchunguzwa kwa nchi chache za kiafrika moja wapo ikiwa Tanzania for violation of sanctions imposed on Korea Kaskazini.
Vikao vingine alivyokosa ni pamoja na UNGA kilichofanyika Nov 2015, SADC Meeting na vingine vingi. Na kwa niaba yake amekuwa akiwatuma\kuwakilishwa na Vice Pres.
Samia Suluhu, Waziri Mkuu Majaliwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje.
Swali ni Je...??
1. Kama nikubana matumizi mbona anatuma wawakilishi.
Wadau
Au kuna sababu nyingine za msingi zaidi..