Dabaga1998
JF-Expert Member
- Apr 10, 2016
- 994
- 502
- Thread starter
- #41
Atakuwa mshamba kuliko nani?Tatizo ushamba.
Atakuwa mshamba kuliko nani?Tatizo ushamba.
Mimi naona afadhali mshamba kuliko wa mjini kama wakina tunga dede walivyo tafuna hii nchi.Tatizo ushamba.
Ndiyo lakini ujue ana weka misingi ambayo inaonyesha anabana matumizi kwa kila hali. Sasa tuone waziri au mtu yoyote atakaye safari kwa helicopter kama wakina Lazaro Nyalandu walivyo kuwa wanafanya.Huyu Mzee yuko serious jaman duhh! yan ndege yake ile ipo anaamua kutembea na lami tu, safar ya saa moja na dk kadhaa, anapiga kwa masaa yasiopungua sita. Tusidanganyane watanzania wengi ss ni wazee wa bata, watu wachache sana wataacha ndege wachukue huo uamuzi. Hata kama ni hapa kaz tu hii imezid.
Naomba Mwongozo tu: Hivi Ukisafiri SANA kwa ndege unakuwa na WOGA wa kuwa angani?
Hapa kweli atawabana wazee wa bata, kuna wakubwa flani na ma vx yao walikuwa ishu za dodoma ilikuwa lazima wavizie ndege ya pinda kipindi hicho, halaf magari yanawafata matupu, hii nchi ngumu sana. Kutoka sio leo wala kesho, sema tu yy aweke misingi.Ndiyo lakini ujue ana weka misingi ambayo inaonyesha anabana matumizi kwa kila hali. Sasa tuone waziri au mtu yoyote atakaye safari kwa helicopter kama wakina Lazaro Nyalandu walivyo kuwa wanafanya.
Jemadari wa vita dhidi ya Mafisadi raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli asafili tena kwa gari kuelekea DODOMA.
I know, I have a problem differentiating when to use r and when to use l. Thank you for your corrections.Asafili = asafiri.
Anahofu sana kupanda ndege, tangu apate ajali ua chopa, hana hamu kabisa!Huyu Mzee yuko serious jaman duhh! yan ndege yake ile ipo anaamua kutembea na lami tu, safar ya saa moja na dk kadhaa, anapiga kwa masaa yasiopungua sita. Tusidanganyane watanzania wengi ss ni wazee wa bata, watu wachache sana wataacha ndege wachukue huo uamuzi. Hata kama ni hapa kaz tu hii imezid.
Watu wa usalama Wana kazi kweli kweli
Jemadari wa vita dhidi ya Mafisadi raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli asafili tena kwa gari kuelekea DODOMA.
Ndio nani?
I know, I have a problem differentiating when to use r and when to use l. Thank you for your corrections.
I know, I have a problem differentiating when to use r and when to use l. Thank you for your corrections.[/QUOTE]= asafiri