Rais Dkt. Magufuli awasili mkoani Dodoma

Rais Dkt. Magufuli awasili mkoani Dodoma

Kaambiwa kwanini Ameacha hadi Dau la Mnyonge limesafishwa! wakati linavuja
 
Analeta usumbufu tu barabarani, bora angepanda ndege. Mikoa minne (dar, pwani, moro, dodoma) askari hawana kazi nyingine isipokuwa kulinda barabara yeye apite. Magari yanasimama mkubwa apite. Nape mwambie msela keshakuwa raisi, abadilike sasa, sifa wakati wa kuomba kura, wadanganyika washampa.
 
Ni uoga kuskia lowasa yupo dodoma
Na kweli raisi MAGU anajua kwamba Lowassa ameenda kule kwa ajili ya FISIDISHA wabunge kwa manufaa ya kutetea UFISADI lakini Raisi wangu mpendwa MAGU anacheza nae karibu.
 
Anaenda kurudi ccm!;msije eenda kudeki baranmbara!!;viazi nyie!!
 
Mkuu unaeza ukawa mlokole mzuri tu, ila kina unapogusa ni dhambi,maovu na mafirauni ndio waliojazana ikiwa ni pamoja na mchungaji wako unaemuani.

Inafikia pahala mchungaji unaemuamini anakushawishi kutenda dhambi huku akiipamba dhambi ile ionekane si dhambi, kwakua wamwamini wajiingiza ktk dhambi.

Namanisha hivi, tumsamehe JPM kwakua dhambi ya kuuza nyumba za serikali na kutuletea ile scraper ya MV bagamoyo ilikua ni ushawishi toka kwa mchungaji wake Mr Mkwere.
Mtetezi? vp kuhusu mv dar..nyumba za serikali...ujenzi wa bara bara chini ya kiwango.....khaa
 
Hivi rais akiwa anasafiri hivyo, anakimbizana na mabasi & malori au yanazuiwa njia nzima Dar - Dodoma ili kumpisha?!
 
Back
Top Bottom