Rais Dkt. Magufuli awasili mkoani Dodoma

Rais Dkt. Magufuli awasili mkoani Dodoma

Naona kabana matumizi,magari 10 kwenye msafara so mengi,hongera amiri jeshi
 
Jemadari wa vita dhidi ya Mafisadi raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli asafili tena kwa gari kuelekea DODOMA.
Kwa nini Serikali haihamii Dodoma?
Lini watahamishia makao makuu huko?
Tanzania kwa usanii ndio yenyewe.
Magu anatakiwa aweke wazi lini wizara zitaanza kuhamia Dodoma. Nyerere alikusanya (alitunyang'anya) pesa nyingi tu ili kujenga Dodoma huku akiahidi Serikali itahamia Dodoma.
 
Kwa nini Serikali haihamii Dodoma?
Lini watahamishia makao makuu huko?
Tanzania kwa usanii ndio yenyewe.
Magu anatakiwa aweke wazi lini wizara zitaanza kuhamia Dodoma. Nyerere alikusanya (alitunyang'anya) pesa nyingi tu ili kujenga Dodoma huku akiahidi Serikali itahamia Dodoma.
Sio lazima waamie Dom, huo ulikuwa mtazamo wake, naye Ana haki ya kuamua kuamia au kutokuamia hawezi lazimishwa. Kuna vitu vingi tuu serikali ilidhamiria na havitekelezeki
 
Huyu Mzee yuko serious jaman duhh! yan ndege yake ile ipo anaamua kutembea na lami tu, safar ya saa moja na dk kadhaa, anapiga kwa masaa yasiopungua sita. Tusidanganyane watanzania wengi ss ni wazee wa bata, watu wachache sana wataacha ndege wachukue huo uamuzi. Hata kama ni hapa kaz tu hii imezid.
Kupanda ndege sio bata.. Ndege ni karaha kama hujawahi kuipanda...
Unakumbuka Magufuli alitakaga kufa kwenye helkopta?
 
LUGUMI. LUGUMIII mishahara tu LUGUMI jeeeeeeeejeeeeeeeeeee si utumbueeeeeeee hapo chachaaaaaaaa eti anaenda kumtubua au
 
Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ukielekea Dodoma kutokea mjini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU(P.T)

DOM3.jpg
Wenye wivu wajinyonge, Hapa Kazi Tu.
 
Kuna taasisi moja anatarajia kuitembelea siku ya Jumapili. Viongozi wa taasisi hiyo hawalali usingizi, ni full kujishtukia.
 
Utasikia Lowassa amerudi Dar au Arusha. Maana giza na nuru havichangamani.

Dar anaoneka anapoita waandishi wa habari hata misiba ameacha. Alikuwa mtu wa watu nini kimemsibu huyu baba.

Malaika wa kwny Harambee haelewi kikichomsibu huyu Kiumbe maana ameasi kabisa Harambee!
 
Jemadari wa vita dhidi ya Mafisadi raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli asafili tena kwa gari kuelekea DODOMA.
Kweli huo msafara gharama yake ni cheap kuliko ndege?
Hebu tu analyse:
Gharama za mafuta
Wear and tear ya magari (gari kuchakaa)
Gharama za madereva wote wa msafara
Muda atakaopoteza njiani
Muda watakaoupoteza wasafiri wengine from Dar to Dom!
Allowances za watumishi anaosafiri nao (maofisa kadhaa) watakaokaa siku 3 badala ya siku 1 kama wangetumia ndege!
 
Jemadari wa vita dhidi ya Mafisadi raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli asafili tena kwa gari kuelekea DODOMA.
Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyata 1963 - 1977 alikuwa anasafiri kwa gari au treni tu.
 
Back
Top Bottom