Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Rais Dkt Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwenye Msikiti wa Bakwata Kinondoni Dar es Salaam.
leo Februari 28, 2020, ambapo akiwa katika eneo hilo amekagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti huo.
pamoja na kushiriki katika dua na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry Bin Ally na viongozi wengine waandamizi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA).
Sent using Jamii Forums mobile app
leo Februari 28, 2020, ambapo akiwa katika eneo hilo amekagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti huo.
pamoja na kushiriki katika dua na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry Bin Ally na viongozi wengine waandamizi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA).
Sent using Jamii Forums mobile app