Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Wadau wa JF, leo Rais Bush wa marekani aliingia Baghdad kwa siri kubwa na baada ya kuonana na wenyeji wake akaitisha mkutano wa waandishi wa habari.Mmoja wa waandishi wa habari mIraq, akavua kiatu chake na kumrushia mfalme huyo wa dunia.
Bush akakikwepa kiatu kile na kama kawaida yake akajoke"That was a size ten shoe!" huku walinzi wake wakitweta.
Hii ni kali ya kumalizia mwaka kwa Bush-source CNN
Bush akakikwepa kiatu kile na kama kawaida yake akajoke"That was a size ten shoe!" huku walinzi wake wakitweta.
Hii ni kali ya kumalizia mwaka kwa Bush-source CNN