Mkuu kibaya zaidi ni kutumia silahaTunahitaji kujua kilichoko kati ya JPM na huyu RC!!
inakuwaje shutuma zote hizi JPM kimya??
Yaani hadi kuvamia studio na silaha. Hii nchi haina intelijensia ya kumshauri mkuu??
Au ni home boy acha afanye atakalo kaka atamlinda...
Afukuzwe tuMwenye Enzi Mungu atangulie kwenye mazungumzo na upatikane muafaka! Duh enough is enough!
Yaani anatumia jeshi?Daudi Bashite on Instagram: “***** ile story ya Jana ni kweli ushahidi huu hapa....Unaambiwa hapo wanajeshi wengine walibaki nje wanalinda mtu asiingie wala asitoke…”
Kodi zetu tunazohamasishwa kulipa zinatumika kuwabeba askari waliovaa nembo za taifa viunoni na vichwani tena wakiwa na bunduki,waende clouds kufuatilia video ya shilawadu?
Askari hawa waliopigana vita ya kagera?
Askari hawa waliopigana Moroni komoro?
Askari hawa walioituliza Kongo DR?
Askari hawa wenye sifa duniani kote ya kulikomboa bara la afrika?
Wanafanyishwa kazi ya kutafuta shilawadu?
Darasa alisema "too much"
Asiishie kufukuzwa tu afungweMwisho wa Makonda umewadia.
Kodi zetu tunazohamasishwa kulipa zinatumika kuwabeba askari waliovaa nembo za taifa viunoni na vichwani tena wakiwa na bunduki,waende clouds kufuatilia video ya shilawadu?
Askari hawa waliopigana vita ya kagera?
Askari hawa waliopigana Moroni komoro?
Askari hawa walioituliza Kongo DR?
Askari hawa wenye sifa duniani kote ya kulikomboa bara la afrika?
Wanafanyishwa kazi ya kutafuta shilawadu?
Darasa alisema "too much"
Wewe ni zaidi ya kirobotoKuna nini la kushangaza!?
Huwa hawaiti au?
Makonda oyeeeeeeeeeee
Leo lazima bashite atumbuliwe, sijui atajificha wapi
Daaaa hii cjaiona jaman.... Ntaipata wap