Mwene chungu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 916
- 752
Kwahiyo pamewahi kutokea rais kutokea chato? Au bajeti hii imewahi kuwepo wakati mwingine wowote?Salaam.
Tumewaskia wabunge wa CCM Mara kadhaa wakisema Magufuli ni rais ambaye hajawahi kutokea.
Lakini hata bajeti pia wamesikika wakisema haijawahi kutokea,bajeti ya mwaka!.
Kauli hizi binafsi zinasumbua.
Marais wote wa nyuma wamekuwa wakichaguliwa na ccm wenyewe,na wamekuwa wakiwasifia na kuwanadi ni marais wazuri.leo wanageuka ati huyu wa sasa ndio bora zaidi..imekaaje hii?
Hiyo ni sahihi mkuu.Salaam.
Tumewaskia wabunge wa CCM Mara kadhaa wakisema Magufuli ni rais ambaye hajawahi kutokea.
Lakini hata bajeti pia wamesikika wakisema haijawahi kutokea,bajeti ya mwaka!.
Kauli hizi binafsi zinasumbua.
Marais wote wa nyuma wamekuwa wakichaguliwa na ccm wenyewe,na wamekuwa wakiwasifia na kuwanadi ni marais wazuri.leo wanageuka ati huyu wa sasa ndio bora zaidi..imekaaje hii?
Waache wafu wasifianeSalaam.
Tumewaskia wabunge wa CCM Mara kadhaa wakisema Magufuli ni rais ambaye hajawahi kutokea.
Lakini hata bajeti pia wamesikika wakisema haijawahi kutokea,bajeti ya mwaka!.
Kauli hizi binafsi zinasumbua.
Marais wote wa nyuma wamekuwa wakichaguliwa na ccm wenyewe,na wamekuwa wakiwasifia na kuwanadi ni marais wazuri.leo wanageuka ati huyu wa sasa ndio bora zaidi..imekaaje hii?
Mkuu hata ajaye atakuwa bora zaidi ya huyu. Kubaki kwenye nafasi uliyonayo kuna mambo mengi sana usishangae.Salaam.
Tumewaskia wabunge wa CCM Mara kadhaa wakisema Magufuli ni rais ambaye hajawahi kutokea.
Lakini hata bajeti pia wamesikika wakisema haijawahi kutokea,bajeti ya mwaka!.
Kauli hizi binafsi zinasumbua.
Marais wote wa nyuma wamekuwa wakichaguliwa na ccm wenyewe,na wamekuwa wakiwasifia na kuwanadi ni marais wazuri.leo wanageuka ati huyu wa sasa ndio bora zaidi..imekaaje hii?
Hilo swali lako litamhusu Jakaya, Mkapa, Mwinyi na Nyerere na bajeti zao pia ambazo hazikuwahi kuwepo kabla.Kwahiyo pamewahi kutokea rais kutokea chato? Au bajeti hii imewahi kuwepo wakati mwingine wowote?
hata kufikiria huwezi wewe kadaHiyo ni sahihi mkuu.
Na nyie cdm mnawasifia maraisi wastaafu kwamba mmewamisi na mna imani nao.
Raisi ambaye hajawahi kutokea ni Madee, raisi wa Manzese.
Kajiteuea mwenyewe, hana serikali wala bunge na nchi inaenda