Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Wandugu vipi mawazo yenu, kwamba labda rais ajaye wa Tanzania akitokea bara (nje na mikoa yote iliyo pwani mwa bahari ya hindi), nchi yetu inaweza kuendeshwa vyema zaidi kupelekea maendeleo na ustawi wa jamii yetu.
Kumekuwa na kauli kuwa watu wa pwani ya bahari ya Hindi hapa Tanzania ni wavivu na blah blah nyingi. They are generalist and simplistic. Huridhika kwa vitu vidogovidogo tu. Kwa mfano wengi wao wako nyuma kimaendeleo na tumeona marais wote waliotoka pwani hiyo; Mwinyi, Mkapa na Kikwete performance yao kiuongozi mgogoro mtupu! Wakati mbara tena wa Musoma Nyerere alifanya mambo makubwa.
Mawazo yenu please objectively and for the better future of our country ,lovely Tanzania.
Kumekuwa na kauli kuwa watu wa pwani ya bahari ya Hindi hapa Tanzania ni wavivu na blah blah nyingi. They are generalist and simplistic. Huridhika kwa vitu vidogovidogo tu. Kwa mfano wengi wao wako nyuma kimaendeleo na tumeona marais wote waliotoka pwani hiyo; Mwinyi, Mkapa na Kikwete performance yao kiuongozi mgogoro mtupu! Wakati mbara tena wa Musoma Nyerere alifanya mambo makubwa.
Mawazo yenu please objectively and for the better future of our country ,lovely Tanzania.