MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,514
- 1,360
Hebu angalieni:
1. Msuya alipendelea kwao Mwanga- Kilimanjaro akaweka umeme, maji shule na hata leo wamefungua benki.
2. Chenge Tabora: aliiba akaweka pesa (vitijsenti) nje ya nchi!
3. Mkapa: amehama kwao Masasi akaenda kujenga Palace Lushoto!
Mzee wa vijisenti na Msuya wametoka bara! Mkapa anatoka Mtwara!
Sasa nani ana akili hapo??
1. Msuya alipendelea kwao Mwanga- Kilimanjaro akaweka umeme, maji shule na hata leo wamefungua benki.
2. Chenge Tabora: aliiba akaweka pesa (vitijsenti) nje ya nchi!
3. Mkapa: amehama kwao Masasi akaenda kujenga Palace Lushoto!
Mzee wa vijisenti na Msuya wametoka bara! Mkapa anatoka Mtwara!
Sasa nani ana akili hapo??