severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Mbona sitokei Dodoma?
Watakuwa na umri gani Wakati Huo?Palamagamba Kabudi au Tundu Lissu
Wanajamvi, nawasalimia sana. Si vibaya tukaanza kumtafuta rais atakayepokea kijiti toka kwa JPM. Na wala siyo vibaya rais ajaye akawa ni mtu mwenye sifa zoote zinanazohitajika kutokea kanda ya kati mikoa ya Dodoma na Singida. Zanzibar tayari, kusini tayar, kanda ya ziwa tayar, magharibi tayari. Kanda zilizobaki ni 2, kanda ya kati na kaskazini kabla hatujarudi tena Zanzibar. Angalizo, maoni haya yasipokelewe kwa mtizamo wa ubaguzi wa kikanda, bali desturi nzuri isiyo andikwa popote lakini yenye manufaa makubwa.
Muslim???? Au tunaangalia mwenye uwezo maana wapagani tupokimya tu hatujapata muwakilishi bado,msituamshe ktk udini maana bado hatujawakilishwa sisi wenye miungu mingineThe next President is a Muslim kwahiyo wakati mnaendelea kupiga ramli zenu hiki kigezo mkizingatie
Kundi lenu halitambuliki inakubidi tu uwe mpole hakuna udini ni utaratibu tuMuslim???? Au tunaangalia mwenye uwezo maana wapagani tupokimya tu hatujapata muwakilishi bado,msituamshe ktk udini maana bado hatujawakilishwa sisi wenye miungu mingine
Halitambuliki? Sasa unasemaje zamu ya Muslim kama siyo udini?Kundi lenu halitambuliki inakubidi tu uwe mpole hakuna udini ni utaratibu tu
Acha kujilisha upepo wewe! Fuatilia mtiririko kuanzia baba wa Taifa mpaka sasaHalitambuliki? Sasa unasemaje zamu ya Muslim kama siyo udini?
Kwamba kuna mpangilio? Basi kuna siku italeta shida nchiniAcha kujilisha upepo wewe! Fuatilia mtiririko kuanzia baba wa Taifa mpaka sasa
Uongozi na wagogo wap na wap mkuu?Wagogo
Vipi huna Imani nao?
Kama kanda ya kaskazini haijawahi kuwa na Rais lakini iko mbele kimaendeleo nini kimekufanya utake kutuaminisha Rais kutoka haya maeneo ndiyo atawaondolea umasikini. Labda nikukumbushe kusini walishatoa huyo Rais but huwezi kufananisha na kaskazini hata sasa wana hadi waziri mkuu.Kanda ya kati inahitaji mkombozi period. Ipeleke mtu akachungulie jikoni. Nimepita mikoa ya singida na dodoma nimegundua kuwa wanahitaji mkakati kabambe wa kuondoa umasikini. Sasa wakiwa na rais pale ikulu, hoja hii itawawia nyepesi.