Rais ajaye 2025 ni kanda ya kati Dodoma

Rais ajaye 2025 ni kanda ya kati Dodoma

Kama ndoto yangu itakuwa kweli, basi rais ajaye atotokea kanda ya kati, sasa Tundu lissu ajiandae anaweza kuwa yeye[emoji848]
 
Mijitu inatabiri kimasihara hapa na ajabu ajabu inakua kweli
 
Hahaha naye atakuwa mwalimu wa chemistry?!

Mgetafuta hata wa geography sasa, tuone naye moto wake.

Huyu mkali kama mwalimu wa zamu, duh!
 
Kamda ya magharibi alitoka Rais gani mkuu??

Naona pia tusiende kwa ukanda tuende kwa uweledi. Hata akitokea wa kanda ya ziwa mwingine 2025 tumpe tu waendelee kutunyooshea nchi maana hawa watu kwa kujisimamia wako vizuri
Uliwaona wapi.Issue ya Dodoma kutoa Rais inatoka wapi?tunachoangalia ni sifa si ukanda halafu bado mapema Sana kujadili issue hizo.Kwa Sasa tuna angalia mengine.
 
Wote nyoosheni mikono...!!
Kushotoo....kuliaa!!
Kushotoooo.....kuliaaaa......!!
Kushotooooooo........kuliaaaaaaaa.......!!
Kushotooooooo.........kuliaaaaaaaaaa.......!!😡
 
Kama ishu ni mtiririko nadhan ulishaharibika, na mtiririko haukuwa kidini, ulikuwa Zenji vs Bara.

Ambapo zenji unakuta most ni Muslim tuu..
Ila baada ya mkapa ilibidi aje mtu wa zenji, ila ikashindikana..
Acha kujilisha upepo wewe! Fuatilia mtiririko kuanzia baba wa Taifa mpaka sasa
 
Back
Top Bottom