Wanajamvi, nawasalimia sana. Si vibaya tukaanza kumtafuta rais atakayepokea kijiti toka kwa JPM. Na wala siyo vibaya rais ajaye akawa ni mtu mwenye sifa zoote zinanazohitajika kutokea kanda ya kati mikoa ya Dodoma na Singida. Zanzibar tayari, kusini tayar, kanda ya ziwa tayar, magharibi tayari. Kanda zilizobaki ni 2, kanda ya kati na kaskazini kabla hatujarudi tena Zanzibar. Angalizo, maoni haya yasipokelewe kwa mtizamo wa ubaguzi wa kikanda, bali desturi nzuri isiyo andikwa popote lakini yenye manufaa makubwa.