Raila Odinga kufungua jengo la Yusuph Manji

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Waziri Mkuu wa Kenya anategemewa kufungu Jengo la Uchumi Ijumaa hii.Jengo hilo linamilikiwa na mfanya biashara Yusuph Manji.mia
 
Ina maana kakosekana kiongozi toka Tz wa kufungua!mbona 2natukanwa matusi ya nguoni nasi kukubali?
 
Ni lini Pinda au hata Kikwete ataenda kufungua jendo Kenya? Membe anaona hii kashfa?
 
Viongozi wa Tanzania wanakupa kuonekana wanajihusisha na miradi ya hela za kifisadi. Siku nchi ikipata viongozi bora mali zote za Manji na za mafisadi wengine zitarudishwa serikalini.
 
Viongozi wa TZ na WTZ wanapenda pesa lakini ya kuficha ficha ..tabia hii ya kupenda kuonekana masikin wameirithi

Kutoka kwa mwalimu nyerere..lol
 
Viongozi wa TZ na WTZ wanapenda pesa lakini ya kuficha ficha ..tabia hii ya kupenda kuonekana masikin wameirithi

Kutoka kwa mwalimu nyerere..lol

Uwe na adabu mwlm hakua mjinga mjinga kama unavyosema,tuliobahatika kuongea nae tunajua yule ni kichwa alitaka watu wote wawe sawa sio kama unavyosema eti alipenda umasikini...
 
Wameona bora wasepe maana mali ya dhuluma siku ya siku itafilisiwa.
 
Ni lini Pinda au hata Kikwete ataenda kufungua jendo Kenya? Membe anaona hii kashfa?

Unless neno kashfa lina tafsiri mpya. Kukiwa na uwekezaji wa Mtanzania na usio na mawaa basi watakwenda kufungua lakini huyu jamaa hafai hata kidogo. Mnashindwa kuelewa kwamba ufunguzi wa jengo unakwenda na ufunguzi wa supermarket ya Nakumatt iliyopo ndani ya jengo hilo na ndiyo inayomleta Raila na Manji akaona atumie jiwe hilo hilo kuua na ndege wa pili.
 
Unless neno kashfa lina tafsiri mpya. Kukiwa na uwekezaji wa Mtanzania na usio na mawaa basi watakwenda kufungua lakini huyu jamaa hafai hata kidogo. Mnashindwa kuelewa kwamba ufunguzi wa jengo unakwenda na ufunguzi wa supermarket ya Nakumatt iliyopo ndani ya jengo hilo na ndiyo inayomleta Raila na Manji akaona atumie jiwe hilo hilo kuua na ndege wa pili.

Mkuu,

Raila Odinga anastahili kuwa makini sana na aiana ya wafanyabiashara anaoshirikiana nao,vinginevyo ndoto zake za kuwa influential hapa East Africa zitapata pigo kubwa sana.Hata kujihusisha kwake kuzindua Habari corporation inayomilikiwa na Rostam Aziz mwaka juzi haikuwa busara sana.Ndiyo maana sishangai kujiingiza au kukubali mwaliko wa kuzindua Quality Plazza.

Kule south Africa ana ushirika na Cyril Ramaphosa ,hata hivyo Ramaphosa ni mfanyabiashara clean hadi majuzi alipoingizwa kwenye kashfa ya tenda za serikali.Raila Odinga anatuangusha wanamapinduzi wenzake kwa hili
 
Uwe na adabu mwlm hakua mjinga mjinga kama unavyosema,tuliobahatika kuongea nae tunajua yule ni kichwa alitaka watu wote wawe sawa sio kama unavyosema eti alipenda umasikini...

ideology zake zilikuwa za hovyo mungu mwenyewe hajawafanya waru wawe sawa yeye angewezaje.ndo maana kwame nkrumah alimtukana
 
ideology zake zilikuwa za hovyo mungu mwenyewe hajawafanya waru wawe sawa yeye angewezaje.ndo maana kwame nkrumah alimtukana

yule alifuata sela za Ujamaa na kujitegemea. haya ya wakina Manji ni ubepali. unafikili mwl angekubari haya? mia
 
basi, na yeye yupo pamoja na mafisadi, na sasa ameamua kushirikiana nao hapa baada ya kuwa kiongozi wa kitaifa nchini mwake. Nawaelewa sana hawa majirani zetu, Raila included!!..
 
Back
Top Bottom