kwani mjeda Sio RAIA?
huo ugomvi ni kati ya RAIA na RAIA na sio mwanajeshi na RAIA.!!
KUTOKA MBEYA:
Raia waua askari wa jwtz mbalizi mmoja na mwingine mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa mbeya section mmoja ffu iko eneo la tukio. Chanzo cha Mauaji na vurugu hizo ni wivu wa mapenzi askar katembea na mchumba wa raia.
kwani mjeda Sio RAIA?
huo ugomvi ni kati ya RAIA na RAIA na sio mwanajeshi na RAIA.!!
Kesho asubuhi utuletee taarifa ya raia wangapi wamepoteza maisha kutokana na kipigo cha JW!!