Raia Mwema latishiwa kushitakiwa na Lowassa

Waswahili wanasema maji ya shingo, Binafsi sishangai kusikia mtoto wa fisadi kama EL ana 1B that is nothing.
 
Lowasa na familiayake wanapesa na nguvu za kifisadi.
Raia mwema wana ukweli na mungu. So kama kweli hili swala litape
lekwa mahakamani na hakimu akawa si wakupewa maagizo toka juu
kwa vigogo bali mfuata sheria,basi Raia mwema watashinda. Lakini ka
ma hakimu atasikiliza maelekezo toka juu,basi Raia mwema hana chake.
Hii ndiyo nchi ya Bongo -Hukumu fake duniani Haki mbinguni!
 
Kila siku wao ni kutishia tu lakini action hatuzioni. This time wafanye kweli basi waende mahakamani!!
 
QUOTE=awtu;Nyandaigobeko.
Shukran kwa kufafanua kabila letu vizuri!

Hakuna shida mzee. WaTZ wengi hawalielewi kabila lenu. Ndo mana hata Dr. Slaa walisema ni Mchaga! Ebu anzisha thread itakayoelezea in and out za wairaqw.
 
Bora uwe masikini, lakini una amani moyoni mwako kuliko kuwa fisadi na ukachukiwa na watanzania takribani wote. Utaishi maisha ya kujisuta moyoni mwako milele na raha iko wapi.
 
Bora uwe masikini, lakini una amani moyoni mwako kuliko kuwa fisadi na ukachukiwa na watanzania takribani wote. Utaishi maisha ya kujisuta moyoni mwako milele na raha iko wapi.
 

Kama Lowassa na familia yake wasafi kulikua na aja gani ya kushinikiza nakala za gazeti la raia mwema kutokomezwa na kusitisha uchapishaji?????!!!Kama wana uhakikika kwanini waandike barua kwa Raia mwema na wasiende katika vyombo vya sheria???Mtu mwenyenia ya kufanya kweli hatoi taadhali ya nia yake bali uenda mahakamani huko na kuiwacha sheria ichukue mkondo wake.Kwanini watumie njia ya kuaribu nakala za gazeti?Kwanini wamtishie mchapaji wa gazeti hilo?Kwanini waendelee kulitishia gazeti hilo kwa barua?Majibu ya maswali hayo yako katika makala ya mwisho ya raia mwema kuhusu kashfa hiyo.MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Not again. Mmbulu sio Mmeru! Kwanza hakuna kabila linaitwa wambulu. Mbulu ni eneo wanapotoka watu wa kabila la wairaqw. Akina Dr Slaa, Marmo,Mary Nagu,Sumaye n.k. Husichanganye makabila ya watu please. Wameru ni wenyeji wa Arusha,na waliishi karibu na Mlima Meru,na sasa wanaendelea kupitakana kwa wingi wilaya za Arumeru Mashariki na Magharibi. Wairaqw wanapatikana kwa wingi Babati Vijijini,Karatu,Mbulu,Hanang' na Katesh. Na tena husije ukamwita muiraqw Mmbulu hata siku moja,ni tusi kwao!

Asante mkuu kwa kunifafanulia nisije kuwa natukana watu bure
 
Kwanini wanawatisha badala ya kuwashitaki kama wanaona wametendewa ndivyo sivyo
 
Waandishi hii habari imefia wapi? Raia Mwema? au ndio mumetishika?
 
Back
Top Bottom