Not again. Mmbulu sio Mmeru! Kwanza hakuna kabila linaitwa wambulu. Mbulu ni eneo wanapotoka watu wa kabila la wairaqw. Akina Dr Slaa, Marmo,Mary Nagu,Sumaye n.k. Husichanganye makabila ya watu please. Wameru ni wenyeji wa Arusha,na waliishi karibu na Mlima Meru,na sasa wanaendelea kupitakana kwa wingi wilaya za Arumeru Mashariki na Magharibi. Wairaqw wanapatikana kwa wingi Babati Vijijini,Karatu,Mbulu,Hanang' na Katesh. Na tena husije ukamwita muiraqw Mmbulu hata siku moja,ni tusi kwao!
Asante Nyandaigobeko kumbe jamaa ni Mmeru aka mbulu duh kazi kweli kweli.