Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
sioni ubaya wa hii habari
mbona tv na hata magazeti ya nchi za wenzetu yanaanika uozo uliopo ktk nchi zao?
tupo ktk zama za tecknolojia mpya ule ujinga wa kuziba watu midomo kutoa habari haupo tena
ukizuia gazeti kuandika watu wataandika ktk blogs na mitandao mbalimbali
wanaotegemea habari magaazetini wanazidi kupungua
hawataweza kulifungia.
mbona tv na hata magazeti ya nchi za wenzetu yanaanika uozo uliopo ktk nchi zao?
tupo ktk zama za tecknolojia mpya ule ujinga wa kuziba watu midomo kutoa habari haupo tena
ukizuia gazeti kuandika watu wataandika ktk blogs na mitandao mbalimbali
wanaotegemea habari magaazetini wanazidi kupungua
hawataweza kulifungia.