Baada ya kutoka na habari motomoto wiki iliyopita (Safari za JK Utata) na nyingine nzito, nimeamka nikikutana na email kibao za watu wakiuliza "Raia Mwema iko wapi". Je kumekuwa na upungufu wa uchapishaji, halikutoka kama imetarajiwa au litatoka late?
Mchuuzi mmoja amedai waliambiwa watapata mchana na sasa ni jioni hawajaliona, Have you seen Raia Mwema today?
Hata mie nimeulizia leo asubuhi nikaambiwa halijatoka. nikanunua MwanaHalisi. sasa hivi nasikia nao wanatakiwa watoe maelezo kwa Serikali kutokana na habari iliyo ndani ya gazeti hilo isemayo 'Njama Kumng'oa Kikwete Zafichuka' mwandishi Saed Kubenea. kazi kwelikweli...
Raia Mwema limeshindwa kuingia mitaani kutokana na tatizo la mitambo ya kuchapiusha. hata Mtanzania zimeingizwa mitaani nakala chache sana. nasikia na magazeti mengi ya Shigongo nayo yameathirika.
Hiyo barua ya serikali kwa MwanaHalisi hata mimi nimeiona, kweli Mhariri anatakiwa kujielezea kutokana na habari yake kuu ya leo kuwa kuna njama za kumng'oa kikwete na mwanawe, Riz, anahusika
Baada ya kutoka na habari motomoto wiki iliyopita (Safari za JK Utata) na nyingine nzito, nimeamka nikikutana na email kibao za watu wakiuliza "Raia Mwema iko wapi". Je kumekuwa na upungufu wa uchapishaji, halikutoka kama imetarajiwa au litatoka late?
Mchuuzi mmoja amedai waliambiwa watapata mchana na sasa ni jioni hawajaliona, Have you seen Raia Mwema today?