Kila mtu ana historia yake, ya kijamii, ya kimasomao, ya kikazi, ya kidini.
Tunawakataa wagombea au tunawakubali kwa kuangalia historia zao kujua tabia zao, pia tunaangalia mahusiano yao ya zamani na sasa na namna yanavyomfanya aweze au ashindwe kutumikia vizuri zaidi.
Nyerere, (hapendi uonevu wa ki-rangi) alikuwa hodari, alifaa kwa kupigania uhuru na kuanza nchi changa?
Mwinyi, (hapendi mtu apate shida) alikuwa mpole mvumilivu alitufaa kuvumilia mabadiliko ya kiuchumi an akimtazamo?
Mkapa, (alikuwa jasiri, anajiamini) alitufaa kubadilisha vitu ambavyo vilikuwa vinaenda kwa mazoea?
Kikwete (anapenda watu wafurahi-anaowajua au kujua habari zao) alitufaa wakati alipokuwa balozi
Tunawakataa wagombea au tunawakubali kwa kuangalia historia zao kujua tabia zao, pia tunaangalia mahusiano yao ya zamani na sasa na namna yanavyomfanya aweze au ashindwe kutumikia vizuri zaidi.
Nyerere, (hapendi uonevu wa ki-rangi) alikuwa hodari, alifaa kwa kupigania uhuru na kuanza nchi changa?
Mwinyi, (hapendi mtu apate shida) alikuwa mpole mvumilivu alitufaa kuvumilia mabadiliko ya kiuchumi an akimtazamo?
Mkapa, (alikuwa jasiri, anajiamini) alitufaa kubadilisha vitu ambavyo vilikuwa vinaenda kwa mazoea?
Kikwete (anapenda watu wafurahi-anaowajua au kujua habari zao) alitufaa wakati alipokuwa balozi