Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,609
Hata huyu nilikuwa mimi!!Ni wewe huyu? Nyani Ngabu
Bomoabomoa Mwanza: Rais Magufuli omba radhi kama....
Kauli uliyoitoa mapema leo huko Mwanza ya kwamba watu wa huko 'wasibomoleshwe' nyumba zao kwa sababu wao ndo walokupa urais si nzuri hata kidogo. Ni kauli ya kibaguzi kabisa na ambayo inapaswa kupingwa na mtu yeyote yule mwenye akili timamu. Wewe unatoa kauli kama hiyo huko Mwanza huku kukiwa...
www.jamiiforums.com