Rai: Tutengeneze database ya waliowasababishia madhila mengi Watanganyika kwa ajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo

Rai: Tutengeneze database ya waliowasababishia madhila mengi Watanganyika kwa ajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Hili ni wazo la mkuu Kalamu alilitoa tukiwa kwenye mjadala wa mada ya CHADEMA

Alishauri tuweke kwenye kumbukumbu kwa faida ya historia
Mambo ya hovyo, uvunjaji wa sheria na haki za binadamu ukiukwaji wa taratibu mbalimbali umefanywa na mamlaka mbalimbali aidha kwa ufinyu wa kuelewa lakini kwa sehemu kubwa ikiwa ni maelekezo maalum "toka juu" kwa manufaa ya mtu mmoja mmoja ama taasisi

Database hiyo itajumuisha majina ya wahusika binafsi, vyeo vyao ama taasisi zao

Mpaka sasa taasisi ya jeshi la police ndio inayoongoza kwa yote hayo huku mtu mmoja mmoja kwa mamlaka na cheo chake pia akihusika

Namba mbili ikifuatiwa na vyombo vingine vya usalama na namba tatu watendaji na viongozi wa CCM

Kuna taasisi zingine Kama mamlaka ya mapato bandari nk
 
Hili ni wazo la mkuu Kalamu alilitoa tukiwa kwenye mjadala wa mada ya CHADEMA

Alishauri tuweke kwenye kumbukumbu kwa faida ya historia
Mambo ya hovyo, uvunjaji wa sheria na haki za binadamu ukiukwaji wa taratibu mbalimbali umefanywa na mamlaka mbalimbali aidha kwa ufinyu wa kuelewa lakini kwa sehemu kubwa ikiwa ni maelekezo maalum "toka juu" kwa manufaa ya mtu mmoja mmoja ama taasisi

Database hiyo itajumuisha majina ya wahusika binafsi, vyeo vyao ama taasisi zao

Mpaka sasa taasisi ya jeshi la police ndio inayoongoza kwa yote hayo huku mtu mmoja mmoja kwa mamlaka na cheo chake pia akihusika

Namba mbili ikifuatiwa na vyombo vingine vya usalama na namba tatu watendaji na viongozi wa CCM

Kuna taasisi zingine Kama mamlaka ya mapato bandari nk
Naunga mkono hoja.
 
Kuna taasisi zingine Kama mamlaka ya mapato bandari nk
Asante kwa kunitambua kwa wazo nililopendekeza katika mada hii muhimu uliyoweka hapa mkuu 'Mshana Jr.' ambayo pia umeiwasilisha vyema kabisa kama ilivyo kawaida yako...


Hali inayoikabili Tanzania sasa hivi ni utekelezaji wa maamuzi wa kundi la watu waovu walioamua kukitumia chama cha siasa kilichoundwa kuwa na uwezo wa kuwashirikisha na kuwafikia wananchi wengi katika muundo wa chama kimoja. Muundo huo wa chama ulihusisha taasisi zote za kiutawala katika maswala ya chama.

Hili kundi limetumia muundo na mfumo huo wa chama na kukitumia kinyume kabisa na ilivyodhamiriwa chama kilipoundwa.

Vyombo vyote vya dola vimebaki kuwa nyenzo za chama (soma kundi la watu waovu) wanazitumia kujiimarisha kwenye utawala.

Mahakama; Bunge; Majeshi yote; ngazi zote za kiutawala hadi kwenye shina mtaani, vyote hivi vipo mikononi mwa watu waovu hawa kwa mgongo wa chama cha siasa.
Hadi hapo mnyororo huu utakapovunjwa, Tanzania kamwe haiwezi kubadilika. Waovu hawa watakuwa wanabadilishana tu nafasi wanaingia wengine ambao watahakikisha wanawalinda watangulizi wao kwa maovu waliyoyafanya..

Mimi nitaanza moja kwa moja, kumtaja Jakaya Kikwete kuwa mwasisi wa mabadiliko yaliyoleta kundi hili la waovu na kuliimarisha katika muundo uliopo sasa.
Kwa hiyo orodha yangu inaanza na huyo, na nitaendelea kuwaleta wengine wanaohusika kutuweka katika hali tuliyonayo sasa hivi
 
Asante kwa kunitambua kwa wazo nililopendekeza katika mada hii muhimu uliyoweka hapa mkuu 'Mshana Jr.' ambayo pia umeiwasilisha vyema kabisa kama ilivyo kawaida yako...


Hali inayoikabili Tanzania sasa hivi ni utekelezaji wa maamuzi wa kundi la watu waovu walioamua kukitumia chama cha siasa kilichoundwa kuwa na uwezo wa kuwashirikisha na kuwafikia wananchi wengi katika muundo wa chama kimoja. Muundo huo wa chama ulihusisha taasisi zote za kiutawala katika maswala ya chama.

Hili kundi limetumia muundo na mfumo huo wa chama na kukitumia kinyume kabisa na ilivyodhamiriwa chama kilipoundwa.

Vyombo vyote vya dola vimebaki kuwa nyenzo za chama (soma kundi la watu waovu) wanazitumia kujiimarisha kwenye utawala.

Mahakama; Bunge; Majeshi yote; ngazi zote za kiutawala hadi kwenye shina mtaani, vyote hivi vipo mikononi mwa watu waovu hawa kwa mgongo wa chama cha siasa.
Hadi hapo mnyororo huu utakapovunjwa, Tanzania kamwe haiwezi kubadilika. Waovu hawa watakuwa wanabadilishana tu nafasi wanaingia wengine ambao watahakikisha wanawalinda watangulizi wao kwa maovu waliyoyafanya..

Mimi nitaanza moja kwa moja, kumtaja Jakaya Kikwete kuwa mwasisi wa mabadiliko yaliyoleta kundi hili la waovu na kuliimarisha katika muundo uliopo sasa.
Kwa hiyo orodha yangu inaanza na huyo, na nitaendelea kuwaleta wengine wanaohusika kutuweka katika hali tuliyonayo sasa hivi
Mimi nitaanza moja kwa moja, kumtaja Jakaya Kikwete kuwa mwasisi wa mabadiliko yaliyoleta kundi hili la waovu na kuliimarisha katika muundo uliopo sasa.
Kwa hiyo orodha yangu inaanza na huyo, na nitaendelea kuwaleta wengine wanaohusika kutuweka katika hali tuliyonayo sasa hivi
 
Naunga mkono hoja.
 
“Oktoba 29 kuna vijana waliamuriwa wazime moto kwa kutumia migongo yao.

Unalalia moto Unaambiwa uuzime.

Can you imagine or manage being in such a situation?

Ni ukatili wa kiwango gani?

Walionusurika kufa wana majeraha ya milele!

Huyu jamaa nimekutana nae Singida na, hii anasema ilimtokea oktoba 29 akiwa anatoka Garage Tabata kwenda alipokuwa anaishi, akiwa na wenzake wakazuiliwa na kuwekwa chini ya ulinzi kisha kuanza kupewa mateso ya kikatili namna hii.

Jamaa alifanikiwa kunusurika lakini ana majeraha ya milele mwenzie mmoja aliyekuwa nae alifariki na hawakuwahi kuona mwili wake.

Inauma Sana 🥲”
1773361189040.jpg
 
Mtani hauogopi kutekwa??Maana police na ccm wanataka kusifiwa sio kukosolewa
 
Back
Top Bottom