Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Kichwangumu,
Ahsante sana kwa mchango wako.
Lakini usijifanye kuwa umevaa miwani ya mbao na kuziba masikio. Kama kweli hujui kuwa Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa Chadema) ndiye mmiliki wa Tanzania Daima, basi unaangukia kule kwa wahenga walikosema kuwa 'usilolijua litakusumbua' ... 'usilolijua ni sawa na usiku wa giza'
Kwahiyo kaa chini tafakari, fanya upembuzi then utapa mwelekeo!
Pundamilia07,
Asante sana.
Hakimu kunijua mimi kuwa ni mwizi hakumfanyi asisikilize ushahidi na utetezi. Kujua kuwa Rostam na Freeman wana fedha ya kutosha na wamiliki wa magazeti hakunifanyi mimi niache kusahau na kujadili matatizo ya mtanzania.
Asante tena