Rai: Lowassa atishiwa kifo

Rai: Lowassa atishiwa kifo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,190
Reaction score
162,698
Gazeti la RAI la leo Alhamisi tarehe 19/02/2015, limechapisha katika ukurasa wake wa mbele habari kuwa, waziri mkuu aliejiuzulu, bwana Edward Lowassa atishiwa kifo.

DSC09681.jpg
 
Kwa mujibu wa gazeti la RAI la leo Alhamisi tarehe 19/02/2015, waziri mkuu aliejiuzulu, bwana Edward Lowassa amelalamika kutishiwa kifo.

CHANZO:RAI(magazeti star tv)
Acha afe kwani anafaida gani fisadi mkubwa huyu.
 
lakini kwa haya magazeti kila siku ni lowasa tu
 
wandishi wetu nao ni pasua kichwa kwao kila siku Lowasa ndiyo kila siku tunaandikiwa mtu mwenyewe hana maana hata kidogo wandishi wetu nao shida tupu.
 
Sasa kwanini asife ama yeye anahisi ana bimà ya milele mwizi mkubwa huyo
 
Sasa kwanini asife ama yeye anahisi ana bimà ya milele mwizi mkubwa huyo

Ha ha ha ha ha,mzee mwizi mpaka anatamani kujiiba yeye mwenyewe hovyo kabisa.
 
Inashangaza kweli nani amuuwe wakati mtu mwenyewe anaweza kuangushwa hata na upepo tu nani asumbuke naye wakati kaisha kama nguo.

Huyu jamaa hata upepo ukimpuliza ananguka,kushika kikombe hata kwa dakika hawezi,anatoka makamasi kama mtoto watu wanamfuta,kutembea hata mita moja bila kupumzika hawezi.Lowassa mfu anayetembea
 
Back
Top Bottom