muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Nakumbuka lile Tangazo,asipochafuka atajifunzaje?
kama vile hajachafuka. Mwenyewe anaona poooooooooooooooooooa tu
uji chumvi plus limao/ndimukitu cha uji (Nyuji)
View attachment 463512
Hugo mwanamke mbona kajiachia sana.
Ninayo hii kabla hawajafika pa kulala![]()
Hawa wamevalishwa halafu inaelekea hao wababa ni ile mbegu ya katumani warefu kwenda chini
Hapo wenzake wanamsifia kwa kumwambia"utamona eeh utamwona eeh utsmwona atakavyozama kwenye tope na yy anavyopenda cfa anazama
