The kid is going places. He was practically rolling in the mud like a pig
Hapo anasubiri kuharisha tu. Starehe gharama.
Atakuwa Mjeda ukubwani!Duu huyo dogo wa mua katisha
Kweli huyu mjeda mkuuAtakuwa Mjeda ukubwani!
Kangekuwa kakwangu ningekashusia kipondo hadi kakojoe halafu ningekatishia kafue. Lakini kwa nia ya kukafundisha fimbo za makalioni.
Mua mgumu balaa dogo anawaza atamenyaje kwenye kifundo? ss ujue watoto walivyo na akili anaweza akaangua kilio cha kutisha wakimsogelea kanawapa muwa huku hakasemi kitu ole wako uondoke nao.View attachment 463175 Nyingine hii
Duh!!huyo dogo kweli pasua kichwa.