Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,657
- 161,643
Niko busy naisaka ndege iliyopoteaMkuu umeokoka siku hizi? Niliposoma kichwa cha mada sikuwaza kuwa unazungumzia kwaya!!
Mkuu umeokoka siku hizi? Niliposoma kichwa cha mada sikuwaza kuwa unazungumzia kwaya!!
Kyela iko Urambo!!Umesahau na mchele wao ule wa Kyela!! duh! hiv Kyela nayo ipo Mbeya? au nimekosea
dah! umenikumbusha mbali, Kyala akutule
Dah! ThanksKyela iko Urambo!!
Wewe shori kumbe na wewe unatoka kwa BANYAMBALA!!!!
Mkuu umeokoka siku hizi? Niliposoma kichwa cha mada sikuwaza kuwa unazungumzia kwaya!!
ahaa! taratibu miye siyo shori bwana, mama yangu ni wa huko so nakimanya kidogokidogo.
Makosa ya kuweka "avatar" ya kishori ndio maana nikadhani wewe ni shori kumbe ni dume!!!
hilo neno shori halisound good ndo sijalipenda, mie ke
Shori ni mwanamke tena mzuri hivyo hukuwa unatukanwa bali kusifiwa!!! Mambo ya mujini hayo!!!
your dirty Mind
Huu wimbo mara nyingi unapoimbwa kwenye sherehe za hawa watani zangu wasokile, mara tu unapoanza wote wanasimama kucheza na kuimba inakuwa kama TRIBAL ANTHEM yao!! Nilipotembelea Tukuyu nikapata shauku ya kuulizia mtunzi wa wimbo huu nikaambiwa ni mzee mmoja mchungaji anayeishi pale Kiwira kwa jina anaitwa mchungaji Mwambande. Nikiwa sehemu za Kiwira nilibahatika kuonana na mzee mwambande na kumuuliza kama anapata royalties zozote toka kwenye wimbo huu kwani unapigwa sana na cd nyingi zimeuzwa; unfortunately mzee huyu hajafaidika na utunzi wake ama sivyo saa hizi angekuwa nakula bata kwani wimbo wake ni maarufu sana!!! Matatizo ya kuwa na serikali dhaifu, watu hudhulumiwa haki zao.
Naelewa ila kwangu mimi huwa silipendi na maneno mengine yanayofanana na hayo like dem n.k
Mkuu nashukuru kwa kunipa kahistoria ka huo wimbo!
You give me an impression that you are intororant of other people's views!!! Lazima ujifunze uvumilivu wa mawazo ya wengine kwani sio kila kitu kitakupendeza; sasa kama hupendi kuitwa dem na wewe umesema ni mwanamke unapenda uitweje?