& my mum ...
Wou i like this
your mum is your happiness
like wise i love my mum so much and my family also is the source of my hapiness i do missthem much kwa muda nikiwa niko mbali nao
Ila Ni kwa vile nawapenda ndo maana ni source ya furaha yangu
& my mum ...
<br /><br />Raha ni kitu ambacho kila mwanadamu anapenda asikie.... But Mungu alivo wa ajabu kaumba kila mwanadamu tofauti... hivo kumfanya kila mwanadamu awe na kile ambacho kinamkuna zaidi na kumpa raha.... Kile ambacho ni raha kwako ni karaha kwa mwingine na vice versa... Hivo basi Gagurito Raha ya Maisha hutofautiana kati ya mmoja na mwingine....<br /><br />
<br /><br />
Sasa hapo kidogo umenichanganya kwenye post ya pili.... Ujue hio ni mada nayo independent kabisa na paana....
Very fantastic...mama ako anakupaje hiyo furaha.& my mum ...
Yes lakini ongeza na kupata na K na M.. hapo raha ya maisha imekamilika.raha ya maisha ni peace of mind asikudanganye mtu.
<br />Umemjibu vyema Ashadii maana kitu kinaweza kuwa raha kwangu wakati kwako ni kero<br />
Na kila mmoja ana kitu au mambo yanayomfanya awe na raha au huzuni ambayo kwa mwingine yanaweza kuwa vise versa <br />
Ni the way unavyofanya kitu na wewe unavyojihisi<br />
Pesa sio kila kitu bana u can have money na ukawa na huzuni maisha yako yote <br />
U cannot buy happiness wala raha haiuzwi kwa pesa
<br />Kwasababu wengi matatizo yao ni tokana na hali mbaya ya maisha <br />
kuto kimilisha yale wapendayo ndio maana wengi hufikiri pesa is everything,<br />
kwa mwenye kubahatika na kuzipata anakuta kumbe sivo....
<br />Amini usiamini hio raha unayoisema hapa... kwa wengine hi kero hasa wanawake walozaliwa frigid ama kufanyiwa genital Mutilation....
<br />mi napata raha cna nkiwa na familia na ndugu 2nakula monde,au nkiwa na mke wangu na watoto wangu kwa upendo esp pale mke anapokua mwaminifu mia kwa mia,au niwapo na masela wangu 2nalabua mastor mi bs rahaa,usisahau hela mfukoni huniondolea stres mara nying real
<br />& my mum ...<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />
<br />Haswa!! Ndio maana yangu.. saingine UPENDO ni msingi wa raha, mara nyingi ukizungukwa na wapenzi wako ndugu na jamaa yenye amani na upendo... hata unapopata matatizo hioni karaha saana - hivo yaweza kua part ya raha....