Raha ya Maisha ni nin?

& my mum ...:)

Wou i like this
your mum is your happiness
like wise i love my mum so much and my family also is the source of my hapiness i do missthem much kwa muda nikiwa niko mbali nao
Ila Ni kwa vile nawapenda ndo maana ni source ya furaha yangu
 
Raha ni kitu ambacho kila mwanadamu anapenda asikie.... But Mungu alivo wa ajabu kaumba kila mwanadamu tofauti... hivo kumfanya kila mwanadamu awe na kile ambacho kinamkuna zaidi na kumpa raha.... Kile ambacho ni raha kwako ni karaha kwa mwingine na vice versa... Hivo basi Gagurito Raha ya Maisha hutofautiana kati ya mmoja na mwingine....&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sasa hapo kidogo umenichanganya kwenye post ya pili.... Ujue hio ni mada nayo independent kabisa na paana....
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kuhusu post ya pili nikwasababu wengi hudhani hiyo! Wengi huabudu sana pesa, wanadhani kua ndio kila kitu!
 
Raha kwangu ni nyingi...mpenzi wangu akinibusu huwa naenjoy sana...pia nikiwa na mpenzi wangu tumetoka out amepiga sketi fupi/jeans tight na viatu virefu.. pai nikipiga dili ya hela out of salary..nikipiga pamba kali na marashi ya ukweli.Hivyo ndo vitu ambavyo huwa vinanipa raha zaidi.
 
mi napata raha cna nkiwa na familia na ndugu 2nakula monde,au nkiwa na mke wangu na watoto wangu kwa upendo esp pale mke anapokua mwaminifu mia kwa mia,au niwapo na masela wangu 2nalabua mastor mi bs rahaa,usisahau hela mfukoni huniondolea stres mara nying real
 
Umemjibu vyema Ashadii maana kitu kinaweza kuwa raha kwangu wakati kwako ni kero<br />
Na kila mmoja ana kitu au mambo yanayomfanya awe na raha au huzuni ambayo kwa mwingine yanaweza kuwa vise versa <br />
Ni the way unavyofanya kitu na wewe unavyojihisi<br />
Pesa sio kila kitu bana u can have money na ukawa na huzuni maisha yako yote <br />
U cannot buy happiness wala raha haiuzwi kwa pesa
<br />
<br />
Yeah kajibu vizuri bt hajasema kwake ni nini kinachompa raha, najua raha ni relative thing, inatofautiana kati ya mtu na mtu, bt kama nilivyosema hapo awali hii thread nikwaajili ya kushare experience so anapaswa aseme kwake ni vipi vyampa raha!
 
Kwasababu wengi matatizo yao ni tokana na hali mbaya ya maisha <br />
kuto kimilisha yale wapendayo ndio maana wengi hufikiri pesa is everything,<br />
kwa mwenye kubahatika na kuzipata anakuta kumbe sivo....
<br />
<br />
Hii ndio imenifanya nikauliza lile swali hapo juu kwamba Je unaamini kuwa pesa inaleta raha/furaha? Umenena vyema Ashadii. But hujasema kikupacho raha wewe ni kipi!
 
Asha Dii,<br />
<br />
Kuna raha moja sote twaipenda na twaiweza hata kwa vipato vyetu tafauti.......tutaifuatilia hadi tuipate
<br />
<br />
Raha gani hiyo mkuu? It seems hii raha inasharewa na wengi, twambie ni ipi!
 
Hii inategemea na mtu mwenyewe lakini kwangu mimi raha ya maisha ni pale roho yangu inapokuwa imeridhika basi hapo ndipo ilipo amani ya nafsi yangu na ndipo ilipo furaha yangu!!
<br />
<br />
Ofcoz nakubaliana na wewe ktk hili.
 
Yeah this is very true <br />
Ila uhalisia sio huo kuna watu hawana pesa wala hawategemei sana hizo ila wana raha za ajabu
<br />
<br />
But pesa pia inanafasi kubwa ktk mambo fulani fulan, tusiibeze!
 
Amini usiamini hio raha unayoisema hapa... kwa wengine hi kero hasa wanawake walozaliwa frigid ama kufanyiwa genital Mutilation....
<br />
<br />
Mimi nimemtegea aiseme ni raha gani hiyo, nadhani atasema UPENDO coz hii ndio amri kuu!
 
mi napata raha cna nkiwa na familia na ndugu 2nakula monde,au nkiwa na mke wangu na watoto wangu kwa upendo esp pale mke anapokua mwaminifu mia kwa mia,au niwapo na masela wangu 2nalabua mastor mi bs rahaa,usisahau hela mfukoni huniondolea stres mara nying real
<br />
<br />
Wewe na mimi twaendana, washikaji, ndugu, jamaa pamoja na wazazi hunifariji sana, hawa ndio haswa macho yangu yalipo, napenda tunavyopendana nao, tunavyoheshimiana na kusaidiana ktk mengi, faraja wanipazo ndio chachu ya kujituma kwangu, nawapenda sana, na nafurahi kwa raha wanipazo maishani mwangu!
 
&amp; my mum ...<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />
<br />
<br />
Hata mimi nampenda kweli mama yangu, amenifanyia mengi mpaka kunifikisha hapa!
 
Haswa!! Ndio maana yangu.. saingine UPENDO ni msingi wa raha, mara nyingi ukizungukwa na wapenzi wako ndugu na jamaa yenye amani na upendo... hata unapopata matatizo hioni karaha saana - hivo yaweza kua part ya raha....
<br />
<br />
Thanx AshaDii, kwa watakao fatilia michango yako naimani watachota hekima vya kutosha!
 
Back
Top Bottom