Raha ya Maisha ni nin?

Wou i like this <br />
your mum is your happiness<br />
like wise i love my mum so much and my family also is the source of my hapiness i do missthem much kwa muda nikiwa niko mbali nao <br />
Ila Ni kwa vile nawapenda ndo maana ni source ya furaha yangu
<br />
<br />
Always nisomapo biblia ujumbe niupatao ni mmoja tu, Nao ni UPENDO, kila kifungu chasisitiza upendo though kwa namna tofauti. Naungana nanyi, UPENDO ndio mambo yoto, unatupa furaha na raha, upendo tuupatao watufanya tufurahie maisha!
 
Raha kwangu ni nyingi...mpenzi wangu akinibusu huwa naenjoy sana...pia nikiwa na mpenzi wangu tumetoka out amepiga sketi fupi/jeans tight na viatu virefu.. pai nikipiga dili ya hela out of salary..nikipiga pamba kali na marashi ya ukweli.Hivyo ndo vitu ambavyo huwa vinanipa raha zaidi.
<br />
<br />
So kwako raha ni Mpenzi, Busu, Skin jeans na Pesa? Hahahahaha! Ni experience nzuri nimeipata!
 
Kama siku itatokea hakuna vibaka, wezi, mafisadi, dhiki, tatizo la umeme na maji magonjwa, n.k

Hata siku moja huwezi kuwa na raha wakati jirani yako anateseka, furaha uliyonayo ni artificial...
 
Wewe na mimi twaendana, washikaji, ndugu, jamaa pamoja na wazazi hunifariji sana, hawa ndio haswa macho yangu yalipo, napenda tunavyopendana nao, tunavyoheshimiana na kusaidiana ktk mengi, faraja wanipazo ndio chachu ya kujituma kwangu, nawapenda sana, na nafurahi kwa raha wanipazo maishani mwangu!

Binadamu tuliomo duniani ni vigeugeu sana na pia dunia yenyewe ni kigeugeu. Unaweza ukaona raha kuwa na watu wanaokupenda, kukujali na kukufariji mpaka ukajisikia raha maishani lakini ikatokea siku yakakukuta mengine hususani matatizo, ukashangaa hao hao waliokupenda na kushirikiana na wewe ndo wanakugeuka tena wanakuwa wa kwanza kukukimbia na kujitenga na wewe hadi ndugu zako wa damu!! Sasa piga picha imekuwa hivo kwako, je raha yako ya maisha itaisha?
 
Binadamu tuliomo duniani ni vigeugeu sana na pia dunia yenyewe ni kigeugeu. Unaweza ukaona raha kuwa na watu wanaokupenda, kukujali na kukufariji mpaka ukajisikia raha maishani lakini ikatokea siku yakakukuta mengine hususani matatizo, ukashangaa hao hao waliokupenda na kushirikiana na wewe ndo wanakugeuka tena wanakuwa wa kwanza kukukimbia na kujitenga na wewe hadi ndugu zako wa damu!! Sasa piga picha imekuwa hivo kwako, je raha yako ya maisha itaisha?
<br />
<br />
Ofcoz human nature is very complex and unpredictable, it is something dynamic! Bt licha ya yote kwangu faraja yangu ni kufanya kitu kwa ajili ya watu wangu, siku zote nimekua nikiomba kwa mungu wangu juu ya hili. Upendo na Maelewano kwa wanandugu, marafiki, najamaa ni chachu ya furaha kwa wengi!
 
No body is incharge of ua life except god. Mungu ni furaha, upendo pamoja na amani! No body can bring u a piece of mind other than ua self!! piece of mind is EARNED and CAN NOT B GIVEN BY ANYBODY!!!
 
Raha ya maisha ni kupendwa na umpendae. vingine vyote mbwembwe tu za maisha!
 
Raha kwangu ni kuwa na amani ya roho na kuwaona wote niwapendao wakiwa na furaha
 
No body is incharge of ua life except god. Mungu ni furaha, upendo pamoja na amani! No body can bring u a piece of mind other than ua self!! piece of mind is EARNED and CAN NOT B GIVEN BY ANYBODY!!!
<br />
<br />
Safi sana mkuu, atleast wewe umemkumbuka Baba Muumba!
 
Raha ya maisha ni kuokoka.feel surounded by angels....
<br />
<br />
Ofcoz! watu waliookoka kwao hujiona kama wapo dunia nyingine tofauti na hii. Hii nao ni experience muhimu kwetu! Safi mkuu!
 
Raha kwangu ni kuwa na amani ya roho na kuwaona wote niwapendao wakiwa na furaha
<br />
<br />
Gaga mimi na wewe tunashare the same taste. Hakika upendo watupa faraja na raha ya kufurahia maisha!
 
Salamu tele toka kwangu ziwafikie popote mlipo wanaJF/MMU! Ni matumaini yangu tu salama na twasonga mbele ktk shughuri na majukumu yetu ya kila siku.

Leo ninajambo moja nitakalo lijadiliwe kwa pamoja, swala hili ni juu ya RAHA YA MAISHA NI NINI? wapendwa kuna watu wanaweza shangaa juu ya hili bt lengo langu kama mwanzisha thread ni kupata kufahamu Experience za watu juu ya maisha, just kushauriana hapa na pale juu ya maisha kwani nijuavyo mimi si sote tupatao raha, pia vitupavyo raha hutofautiana!

BINAFSI uwepo wa marafiki na upendo na ushirikiano nipatao toka kwa ndugu na Jamaa hunipa faraja na raha ya ajabu, napata kujisikia mtu katika watu, pia kinipacho raha kingine ni Afya na ulinzi nipatao toka kwa Mungu, kifupi ninaimani kubwa sana kwake!

Mmh! Sasa ni zamu yako, jaribu kuwa huru na muwazi, usione aibu na kuwa ruksa kusema chochote. JE NI NINI KIKUPACHO RAHA MAISHANI?[/QFURAHA YA DUNIA NI WATOTO.
 
Back
Top Bottom