Tena Lite bardiiiiii inayotoa jasho!Kudadeki hiv ndoa ya kitimoto na serengeti lite ilifungwa lini?
akikujibu fanya kuntag mkuu!!!!Eliud samwel ni wewe au alitekutumia picha?
Dah.. Tunakwama kwenye shekeli... Leo lazima nikafanye chuma ulete nipate walau kiloKiTiMoTo, na Ijumaa hii, upate alafu isikauke sana kuwe na ugali flan unga wa kuloweka, kama itawezekana upate na maziwa mgando yasiwe makali sanaaa, then kwa kuwa inajitegemea mafuta basi ukipata kamchicha mafungu mawili sio mbaya, na mda wa kuanza kula zima simu maana unaweza kupokea habari za msiba kila kitu kikaharibika Mshana Jr tunakwama wapiiiiiiiiView attachment 1217155
jamaà una roho mbayaa
huu ni mwaka wa pili unapita wima hiyo ndafu sijaitia mdomoni.
unanitia majaribuni nikakope;maana hata ile company ya ndafu mixer konyagi tumepoteana maxima
imebaki tunaonana huko kanisani au msibani:
i wish ningekuwa bashite
Ya nyamaMbona kama mihogo
Embu kuwa na adabu mkuuUKIWEZA KUILA HII HATA NYOKA HAKUSHINDI NDO MAANA WALAJI WENGI NI WALEVI