Raha ya kitimoto

kiben10

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
616
789
KiTiMoTo, na Ijumaa hii, upate alafu isikauke sana kuwe na ugali fulani unga wa kuloweka, kama itawezekana upate na maziwa mgando yasiwe makali sana, then kwa kuwa inajitegemea mafuta basi ukipata kamchicha mafungu mawili sio mbaya, na mda wa kuanza kula zima simu maana unaweza kupokea habari za msiba kila kitu kikaharibika Mshana Jr tunakwama wapiiiiiiii
 
Jamaà una roho mbayaa, huu ni mwaka wa pili unapita wima hiyo ndafu sijaitia mdomoni.

Unanitia majaribuni nikakope; maana hata ile company ya ndafu mixer konyagi tumepoteana mazima

Imebaki tunaonana huko kanisani au msibani:

I wish ningekuwa Bashite
 
Dah.. Tunakwama kwenye shekeli... Leo lazima nikafanye chuma ulete nipate walau kilo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…