Raha ya kijijini!!!!!!!

Raha ya kijijini!!!!!!!

umenianzishia vizuri asubuhi yangu,vikishikwa shikwa unajisikiaje sasa mimi liliwahi kunipasua vidole.
utoto huo jamani hata hisiaaaa hazikuweppooooo kabisaaaaaa lol
 
hilo linaitwa ruva! mengi maruva...na kikorokoro! hakipo hvyo. chenyewe kina matairi mawili...
 
hiyo ilikuwa zamani sana miaka ya 80 kurudi nyuma...kwa sasa wanachezea play Stations
 
Nimekumbuka mballi miaka hiyo nikiitwa mjapani.nilikua na yard ya kuuza magari ya makopo na waya

mkuu hunifikii mimi.kwanza hivyo vitotoro /mkikiri nimeunda sana na baiskeli zangu nilikuwa natumia bearings kwenye tairi au vikombe vya baiskeli na nilikuwa nauza buku 2
.speed yaje usipime. hapo kwenye magari ya makopo ndio usiseme,nilikuwa naunga na waya baadaye nikaadvance nikawa naunga bati kwa bati kwa kutumia msumari kisha unaunga kwa kugonga na nyundo. nimeunda sana mabasi kwa kutumia mabati ya madebe ya korie ya lita 20 au 5. au makopo ya tanbond na cowboy.nilimake sana hela kitaa maana nilikuwa na yadi plus vibarua waliokuwa wanajifunza. ingekuwa ni kampuni in real sense ningekuwa mbali sana booonge la bilionea,but kuna basi moja la makopo nimeliweka for memories,nilidizain dar rxpress.
 
mmenikumbusha mbali sana hayo makitu nimetengeneza sanaa shule ndo iloniondoa kwenye utaratibu huo. siku hizi hawachezei haya makitu
 
sasa uchagani kwetu ndo usiseme, yanastawi sana sehemu zenye baridi na majimaji, ni yale yale ya njano mtini linakua kama tunda, likianguka linapasuka kunakua na vidude vya round vya njano mpauko si hayo ya kwenye picha, ngoja ntaenda kijiji ntakutupia picha uone


Sikonge niliahidi kukuletea makome ya kwetu uyaone sasa ndo haya hapaaaa

kingereza chake ndo sijui labda kama yupo anaejua aniambie please.
 

Attachments

  • Photo1305.jpg
    Photo1305.jpg
    242.5 KB · Views: 97
  • Photo1306.jpg
    Photo1306.jpg
    279.9 KB · Views: 94
Utowe Makome? Wee utakuwa Mnyamwezi haki ya nani labda kama kuna kabila lenye jina la Matunda hayo kama sisi.
Au Makome kikwenu ni nini? Kama ni yale ya njano, nilikuwa siyapendi sana hayo Makome ila Mantonga, mhhhh!!!

attachment.php

View attachment 86282
SIKONGE nimetupia picha ya makome ya kwetu umeyaona?
 
Asante nimeyaona ila ni tofauti na ninayoyafahamu mimi. Makome ya Kinyamwezi yamefanana sana na hayo matunda mtini ila sema Makome yanakuwa Makubwa kidogo. Ni kama Orange na Grapefruit.

Itabidi nifunge safari niende Moshi/Arusha na nikifika huko ntayatafuta.
SIKONGE nimetupia picha ya makome ya kwetu umeyaona?
 
Asante nimeyaona ila ni tofauti na ninayoyafahamu mimi. Makome ya Kinyamwezi yamefanana sana na hayo matunda mtini ila sema Makome yanakuwa Makubwa kidogo. Ni kama Orange na Grapefruit.

Itabidi nifunge safari niende Moshi/Arusha na nikifika huko ntayatafuta.

karibu sana kwetu matunda haya hayana msimu ukishalipanda likishajizungusha juu ya mti, coz lipo kama mmea wa passion au zabibu, huwez jua lini limetoa hilo dude ambalo likikomaa linaanguka lenyewe na linapasuka ndo unavikuta hivyo vidude,. baada ya hapo kila baada ya wiki utaona yanadondoka tu, labda kuwe na jua kali sana ila baridina majimaji ndo rafiki kwake,. pia ni dawa kwa wenye matatizo ya sikio unamenya ndani kuna kitu kama korosho vile unatwanga then ina mafuta unaweka tone kwenye sikio, pia presha, matatizo ya kizazi wale wanawake ambao hawashiki mimba ila wapo safi na menginemengine tu huwa naambiwa. Pia unaweza kuchoma yananukia vizuriii, unapasua kama korosho vile unakula hicho cha ndani au unaweza kumenya yakiwa hivyo hivyo na kupikia kwenye chakula kama ndizi au majani ya maboga chakula kinakua kama kina nazi au karanga vile. karibu sana brother
 
hahahahaha kama msichana ukubali kushikwa vimaziwa kama ni wakubwa wakubwa wale, ila waliishia hapohapo

unaona hivyo vimaziwa vyako vilishikwashikwa mapema mpaka vimekuwa mgando yaani maziwa lala au kama chapati.
wewe ni yupi hapa?

bbb4.jpg
 
Hii style ya kina mama kuoga mtoni niliona huko kusini jimbo la Mtama wache nichafue suruali dah[/QU

Duh yaani nimekuta nacheka mwenyewe hapa kipi cha kuchafuklia surualia tena ulidondoka?? au walikumwagia maji?
 
Back
Top Bottom